Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Kuna malaya wa kikurya niliwahi kukamata magorofani musoma, kufika tu room keshasaula chapchap, ile kuingiza tu akamanua akaanza na kuimba wimbo wa KR “ kamua baba kamua baba , kamua wala usitumie hirizi” nilishindwa kuendelea ikabidi nimwache aondoke tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Jamaa katupanga kimtindo. Kama katumia agent bei 10k na agent kachukua ngapi, sidhani kama kuna agent wa 3k.
Ila mkuu pia wale exotic mbona ndy wale wale wa telegram. Kama yule Wayvera siku hizi anajiita huddah alietrend na ile connection ya"Mudi utamuu mwenzako" yupo telegram na exotic.
Ila mimi telegram napendelea wale wasio post sana matangazo, hao utakuta wanapost maybe mara 5 per day au wa kupitia agent ila hawa wa kila DKK 15 tangazo naonaga miyeyusho.
Halaf vipi yule Santia? Ananikosha sana. Nipe recommendention.

Santia ni pisi safi sana, mwenyewe ananikosha sana. Huwa yupo mwanza na Dar ni tabata au sinza mugabe hapo. Namtafutia muda tuu
 
Yeah. Kachanganya files
Elungata anaongelea feature hii 👇🏽
Screenshot_20230103-010559.png

Binafsi nimewahi opoa katoto kamoja kakishua kupitia hiyo feature, tulikua umbali wa kama Kilometer 1 hivi 😊😊

Cc zwenge ndaba
 
Inasikitisha sana. Kuna kipindi nilikuwa Arusha napiga mishe fulani. Nikaenda kupata chakula stand ndogo bar moja maarufu inaitwa Washington.
Ilikuwa ni mchana. Kuna dada mmoja akawa amesimama pembeni ya barabara akawa ananiangalia sana. Alisimama pale kama dakika 30 hivi.
Ni binti mzuri sana. Nikaamua kumuita maana kwa muda niliokaa hapo, kiburudisho kilikuwa kinahitajika.
Nikamkaribisha msosi, akanywa kinywaji lakini kuondoka akawa hataki. Nikamuaga akaangalia kwa huruma sana, akasema tuondoke wote. Nikamwambia nimemuita nimpe chakula tu, akasema anataka kuondoka na mimi, nikamwambia mimi nimefikia lodge, na yeye ni mwanamke hatuwezi kwenda huko bila makubaliano yoyote.
Akasema hakuna shida, chochote nitakachompa ataridhika.
Alikuwa akiongea hivyo anaona aibu sana na almost anatetemeka. Ili kujua kama kweli hana shida nikamuuliza kwao ni wapi, akataja. Akasema anaishi na mama yake(ambaye ni mgonjwa sana) na mtoto wake ambaye amemuacha kwa sababu mama ni mgonjwa.
Nikamwambia kama kweli mama ni mgonjwa twende tukamsalimie, then turudi. Akakubali kishingo upande. Tukachukua bajaji tukaondoka kuelekea nje ya mji. Kabla ya kufika akapiga simu jirani akamletea mtoto kama wa miaka minne hivi, tukaenda kwao ambapo nilimkuta mama yake anaumwa sana. Hawezi hata kujisogeza. Kodi anapokaa imeisha hawajalipa kama miezi mitatu hivi, wameshapigiwa kelele sana. Yaani wanashindwa kuwafukuza sababu ya namna ya kumtoa huyo mama ndani.
Akanitambukisha kwa mama yake eti mimi ni rafiki yake, amenipeleka nikamsalimie.
Kwa hali niliyoikuta pale, nilimpa 150K, ili anunue chakula na aweke mambo Sawa, nikamuahidi kesho yake tuonane ili tukamilishe jambo letu(namna ya kumtoka).
Nilipotoka pale ikawa ndio mwisho wa kumuona maana alipiga sana simu bila mimi kupokea (ni lazima nifanye hivyo kwa sisi wenye familia akizoea inaweza leta shida kwenye familia.)

Kuna watu wanafanya hii kitu sio kwa kupenda kabisa, mambo yanakuwa magumu sana upande wao(japo haifanyi wanachokifanya kuwa sahihi)
Be blessed bro
 
Kitu cha kwanza inatakiwa Kujizima data, then mengine yanafuata.

Hiyo kitu ilinitokea, morogoro sehemu moja maarufu sana kwa malaya wa kujiuza inaitwa kahumba.

Nilifika mida kama ya saa 7 iv usiku natoka zangu mbugani ifakara nikiwa na ukwaasi kinoma

Nili mpoint manzi mmoja mrefu ameumbika vizuri kimuonekano.

Niliongea nae kuhusu bei,akasema buku 4,mm kwa ukwasi wangu nikamwambia ntakuongeza iwe buku 5,wakati huo maongezi tupo nje na kuna taa flan iv za rangi huwezi muona sura ya mtu halisia.

Then tuka zama room kwake.
Duu aisee siku iyo ukwasi wote ulikata ghafla.

Alifika room na kupanda kitandani na kuanza kuvua nguao za ndani,aise ghafla ilitoka harufu kali sana ya bapuchi.
Wakati huo mm nilikuwa tayari nmeshusha suluali na ku vaa ndom.

Nlishindwa kuvumilia ile hali then nikazuga kama nmebanwa na mkojo, nikazama toi na nikavua ile ndom na kutembea mbele.

Aisee wanaume tunavumilia mengi kwa wenzetu.
Kahumba kulikuwa na pisi Kali Miaka ya 2000 mwanzoni, baadae vibibi vichafu chafu vilianza kuvamia Kahumba na ile baa ya pembeni Moro Night...Niliwahi Kula Malaya mmoja maeneo Yale 2004 kwenye gesti bubu mitaa ilele halafu baada ya kumaliza alitoka yeye na kuniacha na ugwadu nikiwa sijakojoa kwa hasira nikamwagia maji ya chipa kubwa kwenye kigodoro dah wangenikamata 🤭
 
Mwaka flani nikiwa Dodoma nikashikwa na nyege kali kutokana na baridi kali ya June. Nikauchek mchepuko unaojielewa ukabana. Nikachek marafiki wapenda pombe ili niwanyweshe niwakabili kimasihara, sikufanikiwa.

Mpaka kufikia saa 4 jitihada zikagonga mwamba. Nikakumbuka uzi wa Telegram JF. Nikasaka danga nikafanikiwa lakini roho haina raha kabisa kununua malaya.

Tukaanza ubishani na yule malaya. Nikamuomba atume picha nimtathmini akakataa, akasema kwani nina shida na uchi au sura! Hilo nikalimezea.

Ubishi wa pili ni sehemu ya tukio. Akasema short time ni elfu 10 lakini ana chumba chake hapo Makole. Nikamwambia siwezi kuja sina uhakika na usalama wangu.

Akaniambia nisiwe na shaka mpaka usiku huu ameshahudumia wanne hapo room kwake. Daah wanaume wanne huo uchi si utakuwa umechakazwa sana. Akanitia kinyaa, nikamwambia poa nitakupigia. Sikumrudia tena.

Ikabidi niwacheki madalali maarufu wanitumia picha iwe mrembo anayeweza kuja lodge kwangu. Wao hawaitani malaya wanaitana mrembo au pisi. Akatuma,nikachagua mwembamba mwenye tako zuri.

Yule demu akafika lakini hakuwa mzuri kama yule wa kwenye picha. Ingawa alikuwa yeye ila picha zilijaa editing. Huyu alikuwa kachakaa sana, sura haina nuru halafu kapiga mkorogo. Nikaingiwa aibu, nikajiuliza hivi hata dada wa mapokezi atanionaje?! Yaani chumba cha 40,000 naingia kitu kama kile.

Nikaona liwalo na liwe nitafumba macho,kikubwa nikojoe tu. Nikamtia ndani yule malaya. Ile anaingia tu akapigiwa simu na danga lingine. Akaliambia kuna kichwa hapa baada ya saa atakuja aandae hela ya kulala. Akanikata stimu.

Ile nataka kumvua akakataa akaingia chooni akavua suruali na chupi akarudi chumbani bila kuvua tisheti. Nami nikaingia chooni kukojoa nikakuta chupi iliyofichwa kwenye suruani ni chafu na ina michaniko. Nikasema huyu ngoja nintafutie sababu aondoke, siwezi lala na demu kama huyu hata kama ni uzinzi.

Akanitaka nimpe kwanza hela yake elfu 10 ndio apande kitandani. Nikaona hapa hapa namletea ukorofi. Nikamkoromea unanikata stimu, nahitaji unitoe stress niinjoi mapema ila wewe unakuja na ubabe. Akaniambia hapo yupo kazini nifanye haraka kuna mtu anamsubiri.

Nikatoa elfu 10 nikamtaka atoke room kwangu simtaki tena. Akavaa akafungua mlango akatoka.

Nikamshukuru Mungu kwa kuniokoa na huo uchafu. Lakini jambo la msingi najiuliza, wale jamaa wanaonunua malaya wa mitandaoni au vichochoroni wana moyo gani. Hamsikii kinyaa? Mbona wale mademu wabovu sana.

Mapenzi yanataka romance, umlambe, akulambe, umnyonye shingo, maziwa, sikio. Umtikise matako (kama anayo lakini). Ukimaliza kugonga mkumbatiane. Sasa wale watoto wachafu mnafanyaje?
Elfu kumi (10,000 tshs) , huyo ni chokolaa,
 
Inauma sana hivi kumbe haya mambo yapo? Nini kinawapata watoto wa kike wajiuze? Na mbaya zaidi eti elfu 10? Mbona kazi zinazoingiza elfu 10 kwa siku ni nyingi?

Mtu anawezaje lala na wanaume wa 4 kwa siku? Magonjwa je? Uchafu? Hao watu wanaoga kweli?

Mimi na huu uzee sijawahi kushiriki tendo na mwanaume ambae siko nae kwenye mahusiano hawa wadogo zetu wanawezaje?
Kazi zimekosa kiasi hiki? Kazi za kuuza duka mbona zipo nyingi? Kuuza uji ma ofisini mbona ni ajira tosha?

Ee Mungu watizame hawa watoto.naumia sana dah.
unaishi kijiji gani mkuu?
 
Jamaa katupanga kimtindo. Kama katumia agent bei 10k na agent kachukua ngapi, sidhani kama kuna agent wa 3k.
Ila mkuu pia wale exotic mbona ndy wale wale wa telegram. Kama yule Wayvera siku hizi anajiita huddah alietrend na ile connection ya"Mudi utamuu mwenzako" yupo telegram na exotic.
Ila mimi telegram napendelea wale wasio post sana matangazo, hao utakuta wanapost maybe mara 5 per day au wa kupitia agent ila hawa wa kila DKK 15 tangazo naonaga miyeyusho.
Halaf vipi yule Santia? Ananikosha sana. Nipe recommendention.
Santia ni mzuri afu anajua kinoma...Nilipima nae afu nikakaza kama nip0 na wife hap0 mjini tabata...ila now yup0 mwanza..
 
Back
Top Bottom