Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Ukitaka vya bei chee ndo hapo utaambulia malaya wachafu kama huyo!
Mie jana mkesha wa mwaka mpya nilikuwa zangu Mwanza kuna kiwanja flani nimenunua malaya kadada flani kembamba wastani keupe yaani mtoto ni mbichi kabisa halafu msafi hana harufu hata kidogo utadhani hauzi mbususu
Yaani nimelala nako usiku kucha na nimeenjoy vizuri tu kama niko na mama watoto kuanzia romance, styles, na michezo kibao !
Asubuhi nimekaachia elfu hamsini nikaondoka nimechukua namba yake next time ntakatumia nauli kaje Dom tule maisha.
Umekatendea haki
 
Kwa kweli haya maisha yana mengi.

Kuna siku nilienda kulewa pombe na jamaa yangu.Sasa mahali hapo pa kunywa kukawa na demu mmoja anatuhudumia vinywaji, baada ya pombe kukolea nikamuelewa yule binti na tukakubaliana bei rasmi.
Misheni inaanza namlipia bei ya siku hiyo kumtoa hapo Bar maana mda haujafika wa kutoka, tunafika hadi home frxh kabla hatujaanza mchakatano ananambia nitulie kwanza tusali, duuh nikaona hii si dhihaka hii kwa Bwana. Kweli Akasali bana ndo tukapiga gem na baada ya gem akasali pia tukalala na hapo sote tumelewa. Usiku naamshwa tena tusali mie nikasema Mungu hadhihakiwi but yeye akasema ni mwingi wa rehema akasali akaendelea kulala tena.
Asabuhi Sasa naamka namtizama yule binti vizuri ndio najiridhisha jinsi alivyo na makovu ya mikorogo miguuni, usoni na mikononi. Duuh naomba nisitumie maneno makali hapa.
Toka hapo ndio nikaamini kua kweli pombe ni haramu na inapozuiwa ni sahihi tu. Maana wakati nimelewa yule binti niliona mrembo mnoo, lakini pombe ilipoisha nikaona ni tofauti na nilivyoona kabisa.

Anyway Mungu amekuwa mwema siku zote.

Haha zile sala itakuwa za kushukuru kukudaka kipofu.
 
Ukitaka vya bei chee ndo hapo utaambulia malaya wachafu kama huyo!
Mie jana mkesha wa mwaka mpya nilikuwa zangu Mwanza kuna kiwanja flani nimenunua malaya kadada flani kembamba wastani keupe yaani mtoto ni mbichi kabisa halafu msafi hana harufu hata kidogo utadhani hauzi mbususu
Yaani nimelala nako usiku kucha na nimeenjoy vizuri tu kama niko na mama watoto kuanzia romance, styles, na michezo kibao !
Asubuhi nimekaachia elfu hamsini nikaondoka nimechukua namba yake next time ntakatumia nauli kaje Dom tule maisha.
Malaya wa mwanza wako poa sana
 
Inasikitisha sana. Kuna kipindi nilikuwa Arusha napiga mishe fulani. Nikaenda kupata chakula stand ndogo bar moja maarufu inaitwa Washington.
Ilikuwa ni mchana. Kuna dada mmoja akawa amesimama pembeni ya barabara akawa ananiangalia sana. Alisimama pale kama dakika 30 hivi.
Ni binti mzuri sana. Nikaamua kumuita maana kwa muda niliokaa hapo, kiburudisho kilikuwa kinahitajika.
Nikamkaribisha msosi, akanywa kinywaji lakini kuondoka akawa hataki. Nikamuaga akaangalia kwa huruma sana, akasema tuondoke wote. Nikamwambia nimemuita nimpe chakula tu, akasema anataka kuondoka na mimi, nikamwambia mimi nimefikia lodge, na yeye ni mwanamke hatuwezi kwenda huko bila makubaliano yoyote.
Akasema hakuna shida, chochote nitakachompa ataridhika.
Alikuwa akiongea hivyo anaona aibu sana na almost anatetemeka. Ili kujua kama kweli hana shida nikamuuliza kwao ni wapi, akataja. Akasema anaishi na mama yake(ambaye ni mgonjwa sana) na mtoto wake ambaye amemuacha kwa sababu mama ni mgonjwa.
Nikamwambia kama kweli mama ni mgonjwa twende tukamsalimie, then turudi. Akakubali kishingo upande. Tukachukua bajaji tukaondoka kuelekea nje ya mji. Kabla ya kufika akapiga simu jirani akamletea mtoto kama wa miaka minne hivi, tukaenda kwao ambapo nilimkuta mama yake anaumwa sana. Hawezi hata kujisogeza. Kodi anapokaa imeisha hawajalipa kama miezi mitatu hivi, wameshapigiwa kelele sana. Yaani wanashindwa kuwafukuza sababu ya namna ya kumtoa huyo mama ndani.
Akanitambukisha kwa mama yake eti mimi ni rafiki yake, amenipeleka nikamsalimie.
Kwa hali niliyoikuta pale, nilimpa 150K, ili anunue chakula na aweke mambo Sawa, nikamuahidi kesho yake tuonane ili tukamilishe jambo letu(namna ya kumtoka).
Nilipotoka pale ikawa ndio mwisho wa kumuona maana alipiga sana simu bila mimi kupokea (ni lazima nifanye hivyo kwa sisi wenye familia akizoea inaweza leta shida kwenye familia.)

Kuna watu wanafanya hii kitu sio kwa kupenda kabisa, mambo yanakuwa magumu sana upande wao(japo haifanyi wanachokifanya kuwa sahihi)
Wewe na The Monk ni Descent Human Beings. Bless your hearts. Your mommas, did a great job raising you. Naam, hivi ndivyo mtoto wa kiume unatakiwa kuwa....
 
Wewe na The Monk ni Descent Human Beings. Bless your hearts. Your mommas, did a great job raising you. Naam, hivi ndivyo mtoto wa kiume unatakiwa kuwa....

Ahsante mkuu, binafsi nna mapungufu yangu mengine mengi tu, wakati huohuo na wewe au wengine Wana vitu wapo vizuri na upungufu kwingine, Kwa ujumla tunafanya Dunia inakua kamilifu.

Pia ntakua mchoyo wa fadhila nisipotambua mchango wako hapa jukwaani na unavyotuelemisha wengi.

Endelea kudumisha upendo, na uzidi kufanikiwa Kwa mwaka 2023.
 
Kwa wanawake wasivyo na shukrani, huyo ke akikutana na wenzake atasahau kila kitu na kumuita huyo jamaa bwege/fala[emoji38][emoji38]. Wana shukrani basi.... wengi ni viumbe wa ajabu sana, hapo likija jamaa na kumt#mba kisha likampa 5000 huyo ndo anavutiwa naye na kumuona mjanja[emoji38][emoji38][emoji38]. Wanawake bhana. Saikolojia yao ndogo sana
One thing you cannot do in this world is: You can't finesse a giver.

Hata siku moja huwezi kumtapeli au kumdhulumu mtu mwenye moyo wa kutoa. Watoaji huwa hawasubiri shukrani wala sifa za wanadamu, maana binadamu hawana shukrani. Wao hurudishiwa mara dufu na MUNGU mwenyewe.
 
Ahsante mkuu, binafsi nna mapungufu yangu mengine mengi tu, wakati huohuo na wewe au wengine Wana vitu wapo vizuri na upungufu kwingine, Kwa ujumla tunafanya Dunia inakua kamilifu.

Pia ntakua mchoyo wa fadhila nisipotambua mchango wako hapa jukwaani na unavyotuelemisha wengi.

Endelea kudumisha upendo, na uzidi kufanikiwa Kwa mwaka 2023.
Mkuu, nashukuru, Mungu ndiye mtoa vyote. Nimesoma hii michango yenu miwili, nimepata matumaini makubwa mno moyoni mwangu: Mungu bado ana wafuasi wengi waaminifu duniani ambao wanafanya dunia iwe sehemu salama.

Ubarikiwe sana mkuu, tuko pamoja...
 
Back
Top Bottom