Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Kwa kweli haya maisha yana mengi.

Kuna siku nilienda kulewa pombe na jamaa yangu.Sasa mahali hapo pa kunywa kukawa na demu mmoja anatuhudumia vinywaji, baada ya pombe kukolea nikamuelewa yule binti na tukakubaliana bei rasmi.
Misheni inaanza namlipia bei ya siku hiyo kumtoa hapo Bar maana mda haujafika wa kutoka, tunafika hadi home frxh kabla hatujaanza mchakatano ananambia nitulie kwanza tusali, duuh nikaona hii si dhihaka hii kwa Bwana. Kweli Akasali bana ndo tukapiga gem na baada ya gem akasali pia tukalala na hapo sote tumelewa. Usiku naamshwa tena tusali mie nikasema Mungu hadhihakiwi but yeye akasema ni mwingi wa rehema akasali akaendelea kulala tena.
Asabuhi Sasa naamka namtizama yule binti vizuri ndio najiridhisha jinsi alivyo na makovu ya mikorogo miguuni, usoni na mikononi. Duuh naomba nisitumie maneno makali hapa.
Toka hapo ndio nikaamini kua kweli pombe ni haramu na inapozuiwa ni sahihi tu. Maana wakati nimelewa yule binti niliona mrembo mnoo, lakini pombe ilipoisha nikaona ni tofauti na nilivyoona kabisa.

Anyway Mungu amekuwa mwema siku zote.

[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Binadamu tulivyoumbwa, tunahitaji kupendwa, ni hitaji muhimu sana. Inafanya mtu ajisikie kuthaminiwa.
Ukipata nafasi ya kuonyesha upendo Kwa mtu, fanya hivyo.

Kuna wakati naweza kumpita mtu anahitaji msaada, ghafla natafakari, ingekua ni pisi Kali ningeipita? Angekua ni mtu naona naweza kunufaika nae Kwa lolote ningeipita? Hapo hapo narudi na kufanya kile unaona kitakua Cha msaada. Kama ni lift unampatia Hadi pale anapoenda na mwisho anakwambia ubarikiwe sana mwanangu.

Kama ni mtu alikua na mizigo unamsaidia kuibeba Hadi pale unapoweza, inakufanya unajisikia vizuri.

Kuna mambo mawili ntaongea Kwa kifupi sana Kwa kua lengo sio kujisifu ila naomba iwe kama kuwatia moyo wengine, Kuna baraka tunapishana nazo.

1. Nikiwa natoka international house, karibia na IT plazza nilimpita kijana na Mama wako pembeni barabarani, niliwatazama bila kusema chochote lakini roho ikanipa msisitizo niwarudie. Kiupufi Mama alikua na maumivu wametoka ocean road, nilibahatika kufanikisha usafiri na vitu vidogo ikiwepo dawa na Mwaka mmoja baadae kijana alinipigia kumshukuru na kunipa taarifa yule Mama alifariki.

2. Nipo maeneo ya mnazi mmoja baba kabeba mtoto na mkewe amebeba mizigo, unaona kabisa kama wametoka hospital na wanahangaika usafiri. Niliwasogelea nikawauliza wanaopenda, pembeni kulikua na tax, nikamwambia jamaa awapeleke.

3. Tulikua bank Moja nipo Kwa foleni nalipia ada watoto, Mara Mzee mmoja Yuko pembeni damu zinavyja anaonekana anamaumivu makali. Kumfuata kuongea nae kumbe alianguka akifuatilia mafao yake. Walikua wawili nikakabidhi pesa na slip Kwa mhudumu wa benki na kumwambia ntarejea niwapeleke hospital, nilipowakabidhi hospital na kywaachia mawasiliano endapo kiratokea kitu nikarudi zangu benk kumalizia mchakato.

Nnachotaka kususitiza huu mwaka unapoanza, tujitahidi kadri tupataponafasinkyinyesha upendo Kwa wengine hata Kwa sehem ndogo tu.
Nimetoa mfano kama kutia moyo na si kujisifu Kwa kua kama ni kujisifu, hivyo vyote ni vitu vidogo sana haifai hata kuvisema.

Niwatakie mwaka mpya wenye afya njema, mafanikio na Kila hitaji jema la mioyo yenu 2023!

Mwenyezi mungu akubaliki na akuongeze pakubwa saaana saaaana mkuu
Nmehisi moyo ulionao mkuu[emoji1316][emoji1374]
 
Inauma sana hivi kumbe haya mambo yapo? Nini kinawapata watoto wa kike wajiuze? Na mbaya zaidi eti elfu 10? Mbona kazi zinazoingiza elfu 10 kwa siku ni nyingi?

Mtu anawezaje lala na wanaume wa 4 kwa siku? Magonjwa je? Uchafu? Hao watu wanaoga kweli?

Mimi na huu uzee sijawahi kushiriki tendo na mwanaume ambae siko nae kwenye mahusiano hawa wadogo zetu wanawezaje?
Kazi zimekosa kiasi hiki? Kazi za kuuza duka mbona zipo nyingi? Kuuza uji ma ofisini mbona ni ajira tosha?

Ee Mungu watizame hawa watoto.naumia sana dah.

Wa nne?[emoji16]
Md wa kituo chetu cha kazi alienda likizo
Akaja mtu mwingine ku kaimu kituo
Kwasababu ya ugeni ilimuwia vigumu kufanya jazi vizuri
Kwakua nipo hapa kwa muda ni sawa na kusema nliendesha ofisi kwa siku zote 28

Last day jamaa anaondoka siku moja nyuma aliniita bar moja
Nkaenda akawa ananipa shukurani
Akaniachia pesa kiasi...
Akanamby agiza chochote
Nkaagiza mchemsho wa kuku nkawa naendelea kunywa
Alooo nlishuhudia dada mmja anapigwa na wanaume kama 7-8,9 ndani ya kama saa moja hivi
Kilikuja kutoka baadae kikanywa bia moja
Kikakamata masai na lifimbo lake
Ndaan alooo[emoji1316][emoji1316][emoji1316]
 
wakuu mimi ni mzoefu wa miaka nyingi kwenye hii nyanja.[uzoefu ni kutokana na kutosahau condom]. mbona naona tunadanganyana humu eti jamaa alikua na dau dogo ndo maana alipata kazi mbovu. nishakula pisi zote kwanzia za elf 3 vibandani mpaka za exotic na adi wadangaji wa club usiku mmoja laki 2 na zaidi. ishu ni kua ujue kuchagua pisi ambayo ina ustaarabu na pia ukipata mdau mwenyeji kama ni eneo jipya atakusaidia kukupa pisi yenye huduma nzuri..
mimi nikiwa nna shida na romance na shoo nzuri basi hua natafuta zile pisi za baa zinazoenda kutafta tu mtu mmoja wa kulala nae na sio zile za kwenda shoo time. ila kikubwa mdada tu mwenyewe akuelewe au akupende damu ziendane maana unaweza kufanya kila kitu sawa na ukatoa pesa ya maana na bado ukapewa shoo mbovu tu. ps customer care kwa hawa wadada wengi ni mbovu wao ukojoe umalize usepe
Well said

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom