Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellow African
Jana nikikuwa na safari ya kwenda Chanika nikaona bora nitumie daldala kutokana na umbali pia folenii na marekebisho ta njia
Nikiwa kwenye daladala nilikuwa nimesinzia kutokana na kuchoka tulipo fika sehemu fulani sikumbi kwasababu sio mwenyeji wa mitaa iyo nikawa nimetulia
Kituo kilichofwata nikawa najiandaa kushuka nilikuwa nimekaa mbele sasa wakati wa kushuka si unakuwa kama unarudi Nyuma kufwata mlango ndipo nika shuhudia tukio la ajabu sana
Kijana anamlazimisha dada kumshika makalio na dada anatoa mkono na pembeni yake amekaa mtu mzima nikawa najiuliza je kama yule mama mjane anajisikiaje anapo shuhudia hayo?
Lakini pia je wanajuana au lah? Kama wanajuana kwanini walazimishane kwenye daladala na wasisubiri wafike waendako? Na je kama hawajuani kwanini dada akae kimyaa vile au anapenda ? Nilijiuliza maswali mengi bila majibu
Niseme usafiri wa daldala ndani yake kuna mambo ya ajabu sana
Jana nikikuwa na safari ya kwenda Chanika nikaona bora nitumie daldala kutokana na umbali pia folenii na marekebisho ta njia
Nikiwa kwenye daladala nilikuwa nimesinzia kutokana na kuchoka tulipo fika sehemu fulani sikumbi kwasababu sio mwenyeji wa mitaa iyo nikawa nimetulia
Kituo kilichofwata nikawa najiandaa kushuka nilikuwa nimekaa mbele sasa wakati wa kushuka si unakuwa kama unarudi Nyuma kufwata mlango ndipo nika shuhudia tukio la ajabu sana
Kijana anamlazimisha dada kumshika makalio na dada anatoa mkono na pembeni yake amekaa mtu mzima nikawa najiuliza je kama yule mama mjane anajisikiaje anapo shuhudia hayo?
Lakini pia je wanajuana au lah? Kama wanajuana kwanini walazimishane kwenye daladala na wasisubiri wafike waendako? Na je kama hawajuani kwanini dada akae kimyaa vile au anapenda ? Nilijiuliza maswali mengi bila majibu
Niseme usafiri wa daldala ndani yake kuna mambo ya ajabu sana