ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ifikie wakati serikali kupitia wizara ya michezo kutoa kalipio na ikibidi kuzuia kabisa tabia za baadhi ya washabiki hasa zinapokutana timu hizi mbili kubwa na mikusanyiko mikubwa kuja na watoto wadogo kwenye msongamano huo mkubwa kwani ni hatari kubwa endapo litatokea swala la mtifuko wa kukimbia na kukanyagana
Bado hata mwaka kuisha taifa lilipopoteza watu pale taifa siku ya kuaga mwili wa hayati Rais magufuli,miongoni mwa wahanga ni wale watoto wadogo wa familia moja toka kimara hadi leo nikikumbuka vifo vile nasikia kuumizwa sana tukio lile na hasa kuwaona wazazi wengine kuwa ni wazembe sana,kwanini tukio lisiangaliwe nyumbani katika tv?kumbebelea mtoto na kuja kumuweka katika risk ni akili gani Hiyo?
Watanzania tuwe tunajifunza wakati mwingine.
Bado hata mwaka kuisha taifa lilipopoteza watu pale taifa siku ya kuaga mwili wa hayati Rais magufuli,miongoni mwa wahanga ni wale watoto wadogo wa familia moja toka kimara hadi leo nikikumbuka vifo vile nasikia kuumizwa sana tukio lile na hasa kuwaona wazazi wengine kuwa ni wazembe sana,kwanini tukio lisiangaliwe nyumbani katika tv?kumbebelea mtoto na kuja kumuweka katika risk ni akili gani Hiyo?
Watanzania tuwe tunajifunza wakati mwingine.