mutant gene
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 876
- 326
Hivi nyie kwani lazima mkiingia humu muwe munapiga hodi?! nyie kama muaingiia ingeni tu sio kila mtu hodi hodi...tumewachoka na hodi zenu kwa maana hatulali sasa kila time hodi...me nimeshachoka kukaribisha sasa! au kuna mtu aliwambia mkingia humu kama hamkupiga hodi mtafukuzwa???
Watu wengine bwana.. Ndo kusema ma-mode ni wajing.a kwa kuweka kipengele cha Utambulisho..... Au unadhan hiyo sehemu ya utambulisho ni ya kutambulisha wachumba....
Hivi nyie kwani lazima mkiingia humu muwe munapiga hodi?! nyie kama muaingiia ingeni tu sio kila mtu hodi hodi...tumewachoka na hodi zenu kwa maana hatulali sasa kila time hodi...me nimeshachoka kukaribisha sasa! au kuna mtu aliwambia mkingia humu kama hamkupiga hodi mtafukuzwa???
Karibu sana JF...
Wakusamehewa uyo
Hivi nyie kwani lazima mkiingia humu muwe munapiga hodi?! nyie kama muaingiia ingeni tu sio kila mtu hodi hodi...tumewachoka na hodi zenu kwa maana hatulali sasa kila time hodi...me nimeshachoka kukaribisha sasa! au kuna mtu aliwambia mkingia humu kama hamkupiga hodi mtafukuzwa???