Mnaoruka na wake za watu / waume za watu huwa hamuoni kinyaa?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Unajua kabisa kuwa yelu ni mke/ mume na fulani na wewe unakwenda kuingiza au kuingizwa humo humo, midomo aliyeinyonya yule na wewe unakwenda kuinyonya hiyo hiyo .assshh kinyaaa, ni sawa na kula mnyama ambaye amekufa kibudu.

Bora uwe hauji mahusiano aliyonayo yaani unajua kabisa usiku kucha analala na fulani, na wewe unaenda kujiweka humo humo? Aaaah uchafu kinyaaa ๐Ÿ˜ฉ

Ndugu zangu mnawezaje huu uchafu? Mimi nikijua tu huyu demu analiwa na fulani nakata kabisa mawasiliano.
 
Vigezo na masharti kuzingatiwa, ukitaka kuruka agana na nyonga

Mke wa mtu sumu ghetto maziwa yapo
Yeah wahuni wakimdaka anaetoka na mke wa mtu huwa wanakamia kama wametoka jela... Vijana wataleftishwa sana kama wataendelea na hizi harakati..
 

Umewahi kula chakula hotelini?
Basi juwa kuwa sahani ya hotelini huoshwa kwanza. Nadhani umeelewa.
 
Hu mwandiko utasema wa bob risky anatoa povu kutokea gerezani.
 
Mlio oa mna kazi kweli kweli๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
ni swala la muda tu ipo siku mazingira yatakushawishi halafu hutakuja huku kutwambia tena... achana kabisa na wanawake wanaakili kubwa na ushawishi mkubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ