Mnaosema kwamba mke hachunguzwi piteni hapa

Mnaosema kwamba mke hachunguzwi piteni hapa

Hata kama hakuna aliyekamilika lakini siyo kwa hayo yanayotokea hapo juu. Kufanya uchafu wenu halafu mje kuuingiza mpaka kwenye chakula ambacho kila mtu anakula, Hii si sawa.

Hilo tango analipasha joto kidogo ili apate taste kama ile ya d*ck yenyewe. Tofauti na likiwa la baridi
Hilo tango gani Bwana? baridi+joto+mikito ya punyeto+kurudi tena kwenye friji Bado likawa sawa sawa?
 
Wanaume tunakazi kwelikweli na hii miwife yetu unatoka kazini umechoka ile mbaya lakin bado unahitajika kumridhixha mkeo na endapo utashindwa hilo ni kosa la jinai
 
Kwanza sisi wabongo ukitaka kutuficha mambo we yaandike kwenye kitabu, sisi ni wavivu sana kusoma sasa hapo na hiyo lugha nimepitiliza kusoma comments tu .
 
Pamoja na kiingereza changu cha kuungaunga ila nimeumia sana.

Kama ningekuwa ni mimi hapo hapo naachana naye aisee.
 
Define privacy.

Then respect privacy.
When you trynna to observe each and everything concerning one's privacy lazima ujute.

Sio kwamba hakuna uchafu kila mtu anao,Mimi,wewe,yeye na wale wengine tuna mauchafu(,degree of ignorance) kwahiyo mze pole kwa ugunduzi wako huo wa kijamii japo haujakusaidia zaidi ya kuvunja mahusiano.
 
Mnachunguza chunguza ili iweje? Heshimuni privacy za wenzenu, hamna aliye mkamilifu.
Ila kuna kitu cha uongo hapo, tango ulitoe kwenye friji kisha ulipashe kwenye microwave kisha upigie puchu..... huo ni uongo. Hilo tango lingerojeka
Cc: Bujibuji acha ubishi,kwan hilo Tango limepikwa au kupatiwa uvuguvugu? Jiongeze mzebaba.
 
Back
Top Bottom