Mnaoshanga na Kujiuliza kwanini tarehe 31 July imepita. na Simba SC bado Inasajili tu Jibu lenu hili hapa

Mnaoshanga na Kujiuliza kwanini tarehe 31 July imepita. na Simba SC bado Inasajili tu Jibu lenu hili hapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"CAF imeweka utaratibu mpya wa Timu ambazo hazianzii hatua ya Awali Kombe la Klabu Bingwa na zipo katika zile Timu Nane zitakazoshiriki Michuano mipya ya Afrika Super Cup zenyewe zitaendelea Kusajili hasi tarehe 30 Mwezi huu wa August, 2023" amesema Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally muda mfupi akiongea na Radio One katika Kipindi cha Michezo cha Spoti Leo.

Kuna Watu wao kwa Ubovu wao na kwa Hadhi ndogo waliyonayo Juzi tarehe 31 July, 2023 ndiyo wamemaliza na najua wana hamu sana nao Wapendelewe na wafanane na Simba SC, ila hawawezi
 
Uzuri ni kwamba unaweza kufunga safari ya kwenda mjini lkn usijue unaenda kufanya nn...hata mkipewa mwaka mzima wa kusajili bado mtaleta magalasa ya 10% kama ilivo kawaida yenu!! Umbwa wahed..
 
Kuna sehemu uliwahi kunikosoa Uandishi wangu.

Leo na wewe mtu MZIMA usiyejua kuandika ngoja nikufundishe kuandika.

1. Sio Neno hasi ni Hadi tarehe .....

2.Dilisha la CAF linafungwa 31 August na si 30.

3. The Africa Football League will be an annual continental club football competition run by the CAF that is set to kickoff in October 2023.[1] It was announced on 28 November 2019 by Gianni Infantino, President of FIFA

JIFUNZE KUFUATILIA VITU NA KUANDIKA VIZURI USIPOTOSHE.
 
Ukiona mtu anasikiliza redio ujue ni;
1. Bushman kutoka mkoani


2. Mzee alie kulia enzi za Nyerere.

3. Both of them.

Mtoa mada ni both of them.
I hate to be rude but...Mtu mzima mwenye akili timamu anazungumza maneno ya kishenzi kama haya?

Okay, kuna nchi inasikiliza redio kama Canada? UK? USA? hapa Africa: South Africa?

Ni kweli kuna vyanzo vingi sasa vya taarifa sasa?
Je ni kweli unaweza muda wote unakaa nyumbani kuangalia TV?
Au unaridhika kusoma vichwa vya habari na Udaku Instagram?
Mnapata wapi experts wa kuelezea mambo ambayo hayapo yanahitaji wabobezi wa nyanja hizo, wakati mpo busy na kazi?
Anyways, Ndio maana mnakuja na habari nusu nusu.

Sisi tukiwa kwenye foleni/usafiri, basi sio muda wote ni amapiano tu. Tunasikiliza redio kujua yale yanayoendelea duniani.
 
I hate to be rude but...Mtu mzima mwenye akili timamu anazungumza maneno ya kishenzi kama haya?

Okay, kuna nchi inasikiliza redio kama Canada? UK? USA? hapa Africa: South Africa?

Ni kweli kuna vyanzo vingi sasa vya taarifa sasa?
Je ni kweli unaweza muda wote unakaa nyumbani kuangalia TV?
Au unaridhika kusoma vichwa vya habari na Udaku Instagram?
Mnapata wapi experts wa kuelezea mambo ambayo hayapo yanahitaji wabobezi wa nyanja hizo, wakati mpo busy na kazi?
Anyways, Ndio maana mnakuja na habari nusu nusu.

Sisi tukiwa kwenye foleni/usafiri, basi sio muda wote ni amapiano tu. Tunasikiliza redio kujua yale yanayoendelea duniani.
Washamba/ wahenga period. Hakuna excuse ya kusikiliza redio.
 
Sioni tatizo lolote hapo
Chuki sio kitu kizuri mkuu
Muulizeni tokea aanze Kunichukia amefaidika na nini? Mwambie asiache Kunichukia hapa JamiiForums kwa kutumia IDs zake Tatu tofauti tofauti kwani ndiyo Kwanza anazidi tu Kuniongezea Umaarufu.
 
Muulizeni tokea aanze Kunichukia amefaidika na nini? Mwambie asiache Kunichukia hapa JamiiForums kwa kutumia IDs zake Tatu tofauti tofauti kwani ndiyo Kwanza anazidi tu Kuniongezea Umaarufu.
C.wezi kuchukia fake id.
 
I hate to be rude but...Mtu mzima mwenye akili timamu anazungumza maneno ya kishenzi kama haya?

Okay, kuna nchi inasikiliza redio kama Canada? UK? USA? hapa Africa: South Africa?

Ni kweli kuna vyanzo vingi sasa vya taarifa sasa?
Je ni kweli unaweza muda wote unakaa nyumbani kuangalia TV?
Au unaridhika kusoma vichwa vya habari na Udaku Instagram?
Mnapata wapi experts wa kuelezea mambo ambayo hayapo yanahitaji wabobezi wa nyanja hizo, wakati mpo busy na kazi?
Anyways, Ndio maana mnakuja na habari nusu nusu.

Sisi tukiwa kwenye foleni/usafiri, basi sio muda wote ni amapiano tu. Tunasikiliza redio kujua yale yanayoendelea duniani.
Nasikitika kukuona Mwerevu kama Wewe umepoteza muda wako kumpa Elimu hii Kubwa Mwanaume ambaye ni Mpumbavu na Muingiliwaji Mwandamizi.
 
Kuna sehemu uliwahi kunikosoa Uandishi wangu.

Leo na wewe mtu MZIMA usiyejua kuandika ngoja nikufundishe kuandika.

1. Sio Neno hasi ni Hadi tarehe .....

2.Dilisha la CAF linafungwa 31 August na si 30.

3. The Africa Football League will be an annual continental club football competition run by the CAF that is set to kickoff in October 2023.[1] It was announced on 28 November 2019 by Gianni Infantino, President of FIFA

JIFUNZE KUFUATILIA VITU NA KUANDIKA VIZURI USIPOTOSHE.
Kama Kuandika neno Kubadilika ulishindwa na ukaandika neno Kubadirika unapata wapi uhalali wa Kujibizana nami damn Fool Wewe?

Nimemnukuu Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally inakuwaje unanishangaa Mimi? Je, page yake huijui ili uende huko ukamwambie Yeye kuwa ASIPOTOSHE kama ulivyoniambia Mimi?

Huna Akili.
 
Back
Top Bottom