Mnaoshangilia mbolea ya ruzuku mnajua madudu yaliyojificha ndani? Msikilize DC huyu

Mnaoshangilia mbolea ya ruzuku mnajua madudu yaliyojificha ndani? Msikilize DC huyu

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mhe Mathayo Maselle amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa bilioni 150 kwa ajili ya mbolea ya ruzuku ili iwafikie wakulima lakini kwa makusudi na kwa uzembe mkubwa uliofanywa na watendaji wa serikali kuhujumu jiitihada za Serikali kwa za utoaji wa mbolea ruzuku

'Kwa hiyo tumehujumu jitihada za serikali za kuwafikia wakulima kwa makusudi na huyo aliyefanya anajua kwa sababu gani amefanya ninataka nikitoka hapa mpaka saa 12 nipate maelezo kwanini vijiji havikufikiwa pamoja na maelekezo ya Serikali"

DC Maselle ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Kijiji cha Mabanda Wilayani Malinyi tarehe 28 Desemba 2022 baada ya kupokea taarifa za wananchi hao kutofikiwa na mbolea ya ruzuku licha ya kuwa msimu wa kilimo umeshaanza.
 
Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mhe Mathayo Maselle amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa bilioni 150 kwa ajili ya mbolea ya ruzuku ili iwafikie wakulima lakini kwa makusudi na kwa uzembe mkubwa uliofanywa na watendaji wa serikali kuhujumu jiitihada za Serikali kwa za utoaji wa mbolea ruzuku

'Kwa hiyo tumehujumu jitihada za serikali za kuwafikia wakulima kwa makusudi na huyo aliyefanya anajua kwa sababu gani amefanya ninataka nikitoka hapa mpaka saa 12 nipate maelezo kwanini vijiji havikufikiwa pamoja na maelekezo ya Serikali"

DC Maselle ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Kijiji cha Mabanda Wilayani Malinyi tarehe 28 Desemba 2022 baada ya kupokea taarifa za wananchi hao kutofikiwa na mbolea ya ruzuku licha ya kuwa msimu wa kilimo umeshaanza.
Hakuna mchawi toka nje, wanaoyafanya hayo ni wanachama wetu watiifu na wengine ni makada, hata waliolalamika last week kuwa fedha za ruzuku na kujikimu kwa wakuu wa shule alikuwa ni kada mtiifu ...hii inatupa picha huku ndani kwetu tunataka kumwangusha tembo kwa uzi
 
Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mhe Mathayo Maselle amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa bilioni 150 kwa ajili ya mbolea ya ruzuku ili iwafikie wakulima lakini kwa makusudi na kwa uzembe mkubwa uliofanywa na watendaji wa serikali kuhujumu jiitihada za Serikali kwa za utoaji wa mbolea ruzuku

'Kwa hiyo tumehujumu jitihada za serikali za kuwafikia wakulima kwa makusudi na huyo aliyefanya anajua kwa sababu gani amefanya ninataka nikitoka hapa mpaka saa 12 nipate maelezo kwanini vijiji havikufikiwa pamoja na maelekezo ya Serikali"

DC Maselle ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Kijiji cha Mabanda Wilayani Malinyi tarehe 28 Desemba 2022 baada ya kupokea taarifa za wananchi hao kutofikiwa na mbolea ya ruzuku licha ya kuwa msimu wa kilimo umeshaanza.
DC ameongea kwa uchungu sana lakini shida hapa ni Waziri Bashe ameleta mfumo wa ruzuku za mbolea bila kuwekewa utaratibu unaoeleweka matokeo yake mbolea hazipatikani kwa wakulima ila unasikia zinakamatwa zikitoroshwa kwenda nje ya nchi , wananchi wanakufa wakiwa kwenye foleni ya mbolea ya ruzuku hapo sasa unaelewa nini


 
Nchi hii hakuna kitu hata kimoja kinachofanyika kwa weledi na kwenda kama kilivyopangwa. Unaweza kusema ni hujuma watu wanajaribu kumhujumu mama lakini kiini cha tatizo ni rushwa. Ukifuatilia vizuri hata hapo kwenye mbolea utakuta watu wamepiga hatari.

Na hatutaweza kuendelea bila kuwa wakali dhidi ya ufisadi. Vinginevyo tutakopa mpaka tuchoke lakini hela zitakuwa zinaishia kwenye mifuko ya wajanja wachache.

Wachina ilifika mahali wakaamua. Ukila rushwa tunakuua. Na wanakuua kweli! Ndipo wakaona mwanga na kuanza kusonga mbele.

Hebu tuanze mwaka kesho. Kila fisadi atakayetajwa kwenye ripoti ya CAG tumtie kitanzi na mali zote alizoiba zirudishwe. Nakwambia ni miaka 10 tu tutakuwa uchumi wa kati ya juu!
 
DC ameongea kwa uchungu sana lakini shida hapa ni Waziri Bashe ameleta mfumo wa ruzuku za mbolea bila kuwekewa utaratibu unaoeleweka matokeo yake mbolea hazipatikani kwa wakulima ila unasikia zinakamatwa zikitoroshwa kwenda nje ya nchi , wananchi wanakufa wakiwa kwenye foleni ya mbolea ya ruzuku hapo sasa unaelewa nini



Du... hapa sasa ndio naanza kuelewa kwanini Kina Bashe, Januari, Mwigulu, Nape walikimbilia kuficha kwenye nafasi za U-NEC wa CCM ili kumfanya Rais na Wabunge wawaogope washindwa kuwawajibisha kwa hofu ya kutopitisha majina yao 2025.
 
Nchi hii hakuna kitu hata kimoja kinachofanyika kwa weledi na kwenda kama kilivyopangwa. Unaweza kusema ni hujuma watu wanajaribu kumhujumu mama lakini kiini cha tatizo ni rushwa. Ukifuatilia vizuri hata hapo kwenye mbolea utakuta watu wamepiga hatari.

Na hatutaweza kuendelea bila kuwa wakali dhidi ya ufisadi. Vinginevyo tutakopa mpaka tuchoke lakini hela zitakuwa zinaishia kwenye mifuko ya wajanja wachache.

Wachina ilifika mahali wakaamua. Ukila rushwa tunakuua. Ndipo wakaona mwanga na kuanza kusonga mbele.

Hebu tuanze mwaka kesho. Kila fisadi atakayetajwa kwenye ripoti ya CAG tumtie kitanzi na mali zote alizoiba zirudishwe. Nakwambia ni miaka 10 tu tutakuwa uchumi wa kati ya juu!
Tukiweza kuutoa mfumo wa CCM ulioasisiwa tangu kale tutaweza. Watendaji wengi hawana weredi,nafasi zao ni zakulipa fadhila,yaani nakuona cheo ili kesho urudishe % kadhaa ya unachopata.

Inasikitisha mpaka raisi anabariki wizi na kuwaambia wale kidogo,unategemea nini?

Bado tuna safari ndefu
 
Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mhe Mathayo Maselle amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa bilioni 150 kwa ajili ya mbolea ya ruzuku ili iwafikie wakulima lakini kwa makusudi na kwa uzembe mkubwa uliofanywa na watendaji wa serikali kuhujumu jiitihada za Serikali kwa za utoaji wa mbolea ruzuku

'Kwa hiyo tumehujumu jitihada za serikali za kuwafikia wakulima kwa makusudi na huyo aliyefanya anajua kwa sababu gani amefanya ninataka nikitoka hapa mpaka saa 12 nipate maelezo kwanini vijiji havikufikiwa pamoja na maelekezo ya Serikali"

DC Maselle ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Kijiji cha Mabanda Wilayani Malinyi tarehe 28 Desemba 2022 baada ya kupokea taarifa za wananchi hao kutofikiwa na mbolea ya ruzuku licha ya kuwa msimu wa kilimo umeshaanza.
Yeye ndio anatakiwa awajibike, kwa nini Yuko hapo kwa niaba ya Rais, namba za wenyeviti wa vijiji na watendaji anazo, na mbolea haijafika. Alikuwa wapi? Asijifanye kurusha mzigo kwa mwingine. Wa kwanza kuulizwa ni yeye kama Mwenyekiti wa kamati ya kusambaza mbolea.

SSH, piga chini huyu
 
Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mhe Mathayo Maselle amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa bilioni 150 kwa ajili ya mbolea ya ruzuku ili iwafikie wakulima lakini kwa makusudi na kwa uzembe mkubwa uliofanywa na watendaji wa serikali kuhujumu jiitihada za Serikali kwa za utoaji wa mbolea ruzuku

'Kwa hiyo tumehujumu jitihada za serikali za kuwafikia wakulima kwa makusudi na huyo aliyefanya anajua kwa sababu gani amefanya ninataka nikitoka hapa mpaka saa 12 nipate maelezo kwanini vijiji havikufikiwa pamoja na maelekezo ya Serikali"

DC Maselle ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Kijiji cha Mabanda Wilayani Malinyi tarehe 28 Desemba 2022 baada ya kupokea taarifa za wananchi hao kutofikiwa na mbolea ya ruzuku licha ya kuwa msimu wa kilimo umeshaanza.
hali mbaya sana
 
inaonekana kama vile dhahabu.Mafuta yana ruzuku mbona hakuna milolongo ya kidigital.Je mafuta hayawezi kutoroshwa nje ya mipaka yetu.?kwanini wakulima wakae foleni ?kwani wapi ruzuku ni kubwa.?najua waliotengeneza mfumo wanafaidi ,jeEwura wanafaidi nini.wataalamu wa kilimo kwa mfumo huu umeongeza mates kwa wakulima
Wakisema mbole nyingi imetumika itakuwa ni taarifa za ofisini.
Wakulima wamekata tamaa ya kukaa foleni kujiandikisha foleni kupata mbolea foleni kupata usafiri nk.
USHAURI .mbolea ya ruzuku iuzwe kama petrol na huu mpango wa mbolea kidigital uachwe.
2.mwaka huu matumizi ya mbolea hautaendana na maeneo yaliyolimwa hivyo maduka yote yaliyosajiliwa na TFRA yauze mbolea kama yanavyouza au walivyokuwa wanauza mbolea.
 
Tatizo haliko kwa Bashe Wala nani,tatizo liko kwenye Kamati za Ulinzi na Usalama ya Wilaya,Kuanzia DCs na watu wake,Rushwa inaanzia hapa!!,wangeacha Mambo ya Rushwa haya mambo yangekuwa na ufanisi Mkubwa!!!Waulizeni hao Mawakala wamepataje hizo biashara!!

Utakuta Wilaya nzima Ina wakala mmoja au wawili wa mbolea unadhani atafanikiwa?,Kwa nini kusiwe na wakala wa mbolea kwa Kila Kata?
 
ni sawa na polisi alalamike ndani ya polisi wake.

ccm ni ccm tu
 
Rushwa Rushwa kila kona.

Mheshimiwa Rais wetu mpendwa anayo kazi ngumu sana. Mijitu hata haiwaonei huruma Wakulima masikini
 
Huyu jamaa kumbe al
Mkuu wa Wilaya alipigwa Malinyi, Mhe Mathayo Maselle amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa bilioni 150 kwa ajili ya mbolea ya ruzuku ili iwafikie wakulima lakini kwa makusudi na kwa uzembe mkubwa uliofanywa na watendaji wa serikali kuhujumu jiitihada za Serikali kwa za utoaji wa mbolea ruzuku

'Kwa hiyo tumehujumu jitihada za serikali za kuwafikia wakulima kwa makusudi na huyo aliyefanya anajua kwa sababu gani amefanya ninataka nikitoka hapa mpaka saa 12 nipate maelezo kwanini vijiji havikufikiwa pamoja na maelekezo ya Serikali"

DC Maselle ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Kijiji cha Mabanda Wilayani Malinyi tarehe 28 Desemba 2022 baada ya kupokea taarifa za wananchi hao kutofikiwa na mbolea ya ruzuku licha ya kuwa msimu wa kilimo umeshaanza.
View attachment 2464562

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mhe Mathayo Maselle amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa bilioni 150 kwa ajili ya mbolea ya ruzuku ili iwafikie wakulima lakini kwa makusudi na kwa uzembe mkubwa uliofanywa na watendaji wa serikali kuhujumu jiitihada za Serikali kwa za utoaji wa mbolea ruzuku

'Kwa hiyo tumehujumu jitihada za serikali za kuwafikia wakulima kwa makusudi na huyo aliyefanya anajua kwa sababu gani amefanya ninataka nikitoka hapa mpaka saa 12 nipate maelezo kwanini vijiji havikufikiwa pamoja na maelekezo ya Serikali"

DC Maselle ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Kijiji cha Mabanda Wilayani Malinyi tarehe 28 Desemba 2022 baada ya kupokea taarifa za wananchi hao kutofikiwa na mbolea ya ruzuku licha ya kuwa msimu wa kilimo umeshaanza.
View attachment 2464562
Kumbe huyu mwamba alipigwa chini?

Nchi ngumu sana hii
 
Back
Top Bottom