Mnaoshindana na Diamond na ninyi basi anzeni kukata viuno ili mshindane vizuri

Mnaoshindana na Diamond na ninyi basi anzeni kukata viuno ili mshindane vizuri

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Nimekua nikishangaa sana baadhi ya wanasiasa badala ya kufanya kazi ambayo Watanzania wamewatuma kufanya sasa wamegeuka kushindana na Diamond.

Kijana wa watu anajituma kwa akili na uwezo wake sasa kuna wanasiasa wameibuka mitandaoni na kuanza kumsemasema kijana wa watu.

Sasa mimi naona ili mshindane vizuri tunahitaji kuona Clip zenu mkikata viuno nadhani hapo mtakua mmeonyesha ushindani mzuri zaidi.
 
Nimekua nikishangaa sana baadhi ya wanasiasa badala ya kufanya kazi ambayo Watanzania wamewatuma kufanya sasa wamegeuka kushindana na Diamond.

Kijana wa watu anajituma kwa akili na uwezo wake sasa kuna wanasiasa wameibuka mitandaoni na kuanza kumsemasema kijana wa watu.

Sasa mimi naona ili mshindane vizuri tunahitaji kuona Clip zenu mkikata viuno nadhani hapo mtakua mmeonyesha ushindani mzuri zaidi.
Kutesa kwa zamu, mbona kama zamu yeyu mmeumia sana?..aliwasaidia COM KUSHINDA na sisi tukamsaidie BURNA KUSHINDA tabu ipo wapi mbn mnatuandama jameniiiiiii hahahahaaaa
 
Back
Top Bottom