kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Habari wapendwa naomba niwaambie ukweli wanao simamia timu ya Taifa kule Mapinduzi Cup mnatuonea sana Wa Tanzania,timu IPO chini ya kiwango,wachezaji wabovu,kocha mmbovu hivi kweli mnashindwa kuwa seriously mnawakilisha bendera ya Taifa letu,michuona insignia kwenye record,mnatumia Hela zetu dah,
Mbona nchi inawachezaji wazuri tu,nenda ndondo cup,ligi za mikoa,vyuo vikuu
Tatizo mnaendekeza juana
Mbona nchi inawachezaji wazuri tu,nenda ndondo cup,ligi za mikoa,vyuo vikuu
Tatizo mnaendekeza juana