Jomba yani hizi fursa zilizoanza kufunguka bado hujapata mchongo? Mtaendelea kulalamika wenzenu tunachangamkia mapema.
Pesa ya TASAF, TACAIDS na miradi mingine ishamwagwa we unazubaa tu. NGO zimeanza kufanya kazi kama zamani, ishu za kampeni za elimu ya afya ya uzazi kwa vijana pesa imemwagwa, kampeni za kugawa pads kwa wasichana zimeshaanza we unazubaa tu.
No wonder wakati wa JK watu waliingia wivu kwa wale waliochangamkia fursa sababu mnadhani pesa utakuta kuna gawio kwenye akaunti ya benki au watakutumia MPESA.
Kalagabaho.