Mnaotafuta waume

Acha uongo.
Ulishaona nani humu kafanya hivo.
Labda kama unawataka mid 20s.
Otherwise kuweni wapole mkiendelea kuwa single.
ni vile mods huwa wanaondoa within a minutes eeh?

mnavyotumiana huko whatsap taarifa tunazo pia

hatutumi picha mpaka tuonane
 
ni vile mods huwa wanaondoa within a minutes eeh?

mnavyotumiana huko whatsap taarifa tunazo pia

hatutumi picha mpaka tuonane
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkipigwa matukio muishie hukooo
 
Seriously picha kwanza mengine yanafata.
 
Ukiomba picha unaonekana hauko seriuos, maana haihusiki kabisa kwenye kuoana.
Ha ha ha...
Picha inakosaje kuhusika na kuoana mkuu.

Utamuoaje mtu ambae huwez furahi ukimtizama au mkiongozana?
 
Anataka kukupima tu wewe unaangalia sura au material kichwani
Material tunaangalia, Ila sura na umbo Ni Muhim pia.

Wasijisahaulishe kua
Mwanamke Ni ua bhana, Kama halivutii Basi halifai
 
Ha ha ha...
Picha inakosaje kuhusika na kuoana mkuu.

Utamuoaje mtu ambae huwez furahi ukimtizama au mkiongozana?

Kiungo kikuu kwenye kuoana ni mbususu, hakuna mbususu hakuna ndoa, ila picha isipokuwepo bado ndoa inakuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…