Uchaguzi 2020 Mnaotangaza nia ya kugombea Urais CHADEMA kwa kutoa vipaumbele mmevipata wapi wakati chama hakijatengeneza ilani?

Uchaguzi 2020 Mnaotangaza nia ya kugombea Urais CHADEMA kwa kutoa vipaumbele mmevipata wapi wakati chama hakijatengeneza ilani?

Papa D

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
753
Reaction score
182
CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela.

Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama.

Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi.

Mwenye kujua atueleze nini kinaendelea huko?
 
Labda kama asipopitishwa na Chama ataisubmit yote bila kula hata thumni kwa yule ambaye Chama kitakuwa kimependezwa nae 🙂
 
Chama cha hovyo saana hiki hakina utaratibu.
Usikute ilani anaandaa mbowe peke yake na Joyce mkya ndio maana wameamua watoke kivyao vyao.
Ila pia mziki wa jpm umewachanganya kabisa.
 
CCM na ilani yake.
1. Stigler imetoka wapi?
2. Ndege zimeka wapi
3. Uwanja wa ndege chato umetoka wapi
4. Yale majengo ya chato yametoka wapi

Hetu pitia ilani ya ccm utumbie na uweke hapa ushahidi hivi kama vipo humo
 
Chadema wamekosea sana kwa hili la urais...
Awamu hii wangeweka mikakati kwanza ya kupata viti vingi vya ubunge.... Hivi awamu hii ilivyo unapata wapi imani kua utamshinda Jpm?
Na kwanini basi kusiwe na official candidate?
Wameniboa kiaina
 
Chadema wamekosea sana kwa hili la urais...
Awamu hii wangeweka mikakati kwanza ya kupata viti vingi vya ubunge.... Hivi awamu hii ilivyo unapata wapi imani kua utamshinda Jpm?
Na kwanini basi kusiwe na official candidate?
Wameniboa kiaina

Wewe unajuwaje kama huo nao nimkakati wa kuwavuruga ccm

Napengine yupo mmoja tu wengine nikujazia uzito tu.
 
CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela.

Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama.

Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi.

Mwenye kujua atueleze nini kinaendelea huko?
Chama cha ajabu hiki kipokipo tu
 
Chadema hawajawahi kuwa serious
Wamemuwekea Tundu lissu mawe tayari kwenye njia yake,na yeye kaamua.kuwachangisha tanapa,ili.baadae asingizie ameshindwa kuchukua fomu kwa kuogopa usalama wake
 
Ilani huwa inatolewa wakati gani? Je ni kabla ya kumpata mgombea mmoja au kila anayetangaza nia kupewa ilani?
 
CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela.

Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama.

Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi.

Mwenye kujua atueleze nini kinaendelea huko?
Huu ni ufinyu wa fikra, hakuna nchi wagombea wanatangaza nia bila vipaumbele; CCM yenyewe na Uzuzu wao 2015 hata Wasira alikuwa na vipaumbele 11.
 
CCM na ilani yake.
1. Stigler imetoka wapi?
2. Ndege zimeka wapi
3. Uwanja wa ndege chato umetoka wapi
4. Yale majengo ya chato yametoka wapi

Hetu pitia ilani ya ccm utumbie na uweke hapa ushahidi hivi kama vipo humo
Tulia wewe ...haujui hata serikali inaendeshwaje....!

Hujui chochote.....
 
Chadema wamekosea sana kwa hili la urais...
Awamu hii wangeweka mikakati kwanza ya kupata viti vingi vya ubunge.... Hivi awamu hii ilivyo unapata wapi imani kua utamshinda Jpm?
Na kwanini basi kusiwe na official candidate?
Wameniboa kiaina
Chadema mwalimu wao KIPOFU.

They never learn a single lesson.
 
Chama cha hovyo saana hiki hakina utaratibu.
Usikute ilani anaandaa mbowe peke yake na Joyce mkya ndio maana wameamua watoke kivyao vyao.
Ila pia mziki wa jpm umewachanganya kabisa.
Kweli kabisa
 
Watia nia ya uraisi kupitia CCM mwaka 2015 walikuwa hawatoa ahadi au kutangaza vipaumbele vyao wakati wanatangaza nia ya kugombea uraisi kupitia CCM?
 
Chama cha hovyo saana hiki hakina utaratibu.
Usikute ilani anaandaa mbowe peke yake na Joyce mkya ndio maana wameamua watoke kivyao vyao.
Ila pia mziki wa jpm umewachanganya kabisa.
Watia nia ya uraisi kupitia CCM mwaka 2015 walikuwa hawatoa ahadi au kutangaza vipaumbele vyao wakati wanatangaza nia ya kugombea uraisi kupitia CCM?
Kwahiyo wamecopy.
Cdm ni chama chenye watu wenye akili kubwa.
Dr slaa atakumbukwa Sana kwa weledi mkubwa aliokuwa nao cdm,haya mambo ya hovyo wakati yupo hayakuwapo
 
CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela.

Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama.

Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi.

Mwenye kujua atueleze nini kinaendelea huko?
Kila jambo lina maandalizi yake
 
Back
Top Bottom