LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mgombea uongozi lazima uwe na maono yako pia nje ya ilani ya chama chako, ndo maana Mwaka 2015 wote waliotangaza nia nao walitoa maono yao pia kupitia ccm.Naamini hata watakaotangaza nia kupitia ccm kuanzia Leo lazima watatoa ahadi zao binafsi pia.ukiachana na ilani ya chama pia.