Uchaguzi 2020 Mnaotangaza nia ya kugombea Urais CHADEMA kwa kutoa vipaumbele mmevipata wapi wakati chama hakijatengeneza ilani?

Uchaguzi 2020 Mnaotangaza nia ya kugombea Urais CHADEMA kwa kutoa vipaumbele mmevipata wapi wakati chama hakijatengeneza ilani?

Mgombea uongozi lazima uwe na maono yako pia nje ya ilani ya chama chako, ndo maana Mwaka 2015 wote waliotangaza nia nao walitoa maono yao pia kupitia ccm.Naamini hata watakaotangaza nia kupitia ccm kuanzia Leo lazima watatoa ahadi zao binafsi pia.ukiachana na ilani ya chama pia.
 
CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela.

Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama.

Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi.

Mwenye kujua atueleze nini kinaendelea huko?
Aisee..!! CDM inawasumbua sana kimawazo... kwani ile ilani ta CCM inayosema kila kijiji kitapewa 50M, ilitekelezwa..!!??
 
CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela.

Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama.

Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi.

Mwenye kujua atueleze nini kinaendelea huko?
Mgombea lazima awe na malengo yake binafsi, inaelekea haujui siasa.
 
Back
Top Bottom