Mnaotarajia kwenda vyuo vikuu angalieni itv.

Chemiker

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
506
Reaction score
108
Habari JF,
Kwa wale wanaotarajia kwenda vyuo vikuu angalieni ITV mtapata msaada jinsi ya kufanya ''application'' za vyuo. Hosts ni DR. Primus Nkwera na wengine. Msikilize kwa makini ili msije mkaendelea kusumbua hili jukwaa kutafuta Updates za TCU.
 
nimeckilza na nimeangalia kwa makin nimeelewa jinsi walivyoongea lakn hawajajibu swal la vyuo kwa 1st year ni october au january!? Ni hayoo 2
 
nimeckilza na nimeangalia kwa makin nimeelewa jinsi walivyoongea lakn hawajajibu swal la vyuo kwa 1st year ni october au january!? Ni hayoo tuu
 
Jaman mtufahamishe amesemaje? wengine hatuna tv,kwa mliosikiliza tupeni mrejesho
 
chuo january first year!!! Mpk warud wenzen jeshn naji mnaingia class
 
Katika mahojiano ya tbc na waziri wa elimu jana usiku,naibu waziri Mulugo alisema"wahitimu wa kidato cha sita wataifurahia zaidi hii ratiba mpya ya mihula,kwani zamani f6 walikuwa wakikaa nyumbani takriban miezi 7 kuanzia mwezi march hadi september ndipo wanaingia vyuoni lakini kwa sasa watakuwa wakikaa kuanzia mwezi may hadi september then wanaingia vyuoni"mwisho wa kunukuu.
 

kakaa hapo kna utata! Coz mwaka huu kabla hatujafanya mtihan wa fm6 tuliletewa ratiba mbili ya mwez 2 na 5! Wakisema mihula ya shule za sekondar, vyuo, na vyuo vya elimu ya juu imebadilika, kama ifuatavyo, form4 watamaliza mwez wa 11(november) na kuingia a'level mwez wa 7(july), form 6 watamalza mwez wa 5 na kuingia chuo january!! tena huo waraka tulisomewa ss shulen kwetu! Sasa mkuu taarifa ya hyo wazir wako inachanganyaaa+haieleweki=pumbaaa
 
Kwa ambao hamkuaangalia; mwaka huu tcu hawatawachagulia watu kozi na vyuo kwa wale wote watakaoshndwa kwenye ushndan ktka kwenye kozi zao tano zile walizochagua! Xo kutakuwa na second chance ya kuapply tena kwa wale wte watakaokosa kwenye zile kozi zao tano walizochagua! NB; gharama ni ile ile ulipii tena! Xo ww kama kuna koz zaid ya 3 umewekewa NO jiandaee ku apply mara ya pilii
 

Nna NO 1 afu no yenyew ya kishamba tu....yani RUCCO nimepigwa no wakati hata watu walioapply wachache vbaya...
 
Nna NO 1 afu no yenyew ya kishamba tu....yani RUCCO nimepigwa no wakati hata watu walioapply wachache vbaya...

kakaa unaonajee huo mfumoo lakin! Me nina YES zote ila Sua majanga agribsness watu buku3 wameomba waliowekewa yes watu buku na mia nane! Walioweka 1st choice wat mia nane na koz inahitaji watu 220! Mbrazil angalia kwenye profle yako hujue una uhakikaa chuo gan
 

Uwe unajitahidi kusikiliza vizuri na kabla hujaamua kutoa kashfa jitathimini wewe kwanza. unajua kuna vyuo na vyuo vikuu tena kuna shahada na stashahada, kama ungeweza kutofautisha hayo maneno ungetoka kwenye kundi ambalo umeliita la pumbaa. bofya hapa kupata uhakika View attachment 101926
 

First choice niliweka Ardhi...hadi sasa walioweka first choice ni 130' na sumthing iv alafu wanahitaji watu 120...i think hapo na nafasi kubwa ukizingatia mi uchumi tangu advance so nna advantage...nkikosa hiyo second choice ni IFM Inahitaji watu 440 untill now watu kama 100 tuu wameweka first choice....so nafikiri hizo mbili naeza kuepo
 

Unaangaliaje wa2 wangapi wamejaza course hio? As first choice.au second?
 
Unaangaliaje wa2 wangapi wamejaza course hio? As first choice.au second?

Nenda kwenye profile yako tcu...ingia pale kwenye view selection status afu uwe unapeleka mshale kwenye zile code number za vyuo automatically hizo taarifa zitakuwa zinajitokeza
 

dah!hyo agribussiness ya sua hata last year ilikua hvo hvo,yani watu kibao waliichagua.
 

kaka mm ndo nilivyoulewa baada ya kusomewa shulen kwetu! Najua kama kuna vyuo na vyuo vikuu also kuna shahada(degree) na stashahada(diploma) ndo maana kwenye maelezo yangu nimetenganisha! Cmu yang haina uwezo wa kufungua pdf! Naomba unielezee jinsi ww ulivyoelewaaa! Juct fanya kma unaelezea.....! Over
 
Nimeusoma lakini Waraka unaongelea mda wa kuanza kwa mitihani kwa form four na form six,pia mda wa kujiunga na vyuo vya ualimu.Hakuna sehemu wameongelea vyuo vikuu kabisa.
 

mkuu ardhi k2 cha (LMV nin au BAF) ila mm Ardhi uhakika kwenye Building economics(Quantity suverying) coz waliomba 658 waliowekewa yes 278 tulioweka first choice 75 wakat chuo kinachukua watu 150 kwa hyo kozi! Xo God akipenda tutakutana ARUUUUU!! mwana ndabooooo lizangat mpaka kielewekeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…