Mnaotarajia kwenda vyuo vikuu angalieni itv.

Nimeusoma lakini Waraka unaongelea mda wa kuanza kwa mitihani kwa form four na form six,pia mda wa kujiunga na vyuo vya ualimu.Hakuna sehemu wameongelea vyuo vikuu kabisa.

mier! Kapu
 

Kama daweeeeez.....pamoja sana tusubirie hayo madudu yao tuoneeee
 

BAF first choice
Land valuation 3rd choice...sidhani kama hii ntapata nshajiexclude hapa
 
BAF first choice
Land valuation 3rd choice...sidhani kama hii ntapata nshajiexclude hapa

vp land valuation ina watu wangapi walioomba! Coz cjaijazaa mm niliona itakuwa na ushndan coz had HGL,HGK wanaombaaa, tena kuna bro wangu mwaka wa 3 ardhi ameniambia hyo kozi mwaka jana wamechukua dvn 1 pekee yake!
 
mbona mimi kuangalia wangapi wameandikiwa yes na wangapi waliomba inagoma kufunguka, nisaidie aise
 
mbona mimi kuangalia wangapi wameandikiwa yes na wangapi waliomba inagoma kufunguka, nisaidie aise

ukishalog in! Nenda kwenye my profile, ukishaletewa profile lako elekeza kimshale cha mouse kwenye zile code namba za kozi na uache hvo hvo bla kuclick itakuletea yenyewe hzo information! Over
 

aise kazi.ardhi ,mzumbe,na ud wengi pia,lakn ruco mbrazil umewekewa no kwanini wakat watu wana EEE na f za hesabu o level na advance eca wamewekewa yes?kwa couse ya bafit
 
aise kazi.ardhi ,mzumbe,na ud wengi pia,lakn ruco mbrazil umewekewa no kwanini wakat watu wana EEE na f za hesabu o level na advance eca wamewekewa yes?kwa couse ya bafit

Hata mi nashangaa kaka...ila mpaka leo haijabadilika pale imekula kwanguu
 
dah! chuo kimetoa nafasi moja ya kozi, na tulio omba watu 9.... yani ni baraa

 

Kaka kuangalia idad ya wa2 walio omba kwenye kozi unafanyeje hapo
 
Kaka kuangalia idad ya wa2 walio omba kwenye kozi unafanyeje hapo

log in! Nenda kwenye my profile, likija profle lako elekeza mshale wa mouse kwenye code namba za kozi zako kule kwenye 1st column, uc click wala nn we weka kimshale tuu information zitajireta zenyewee! Fanya hvo hvo kwa kla koz! Vp ukfanikiwa uje kunipa majibu!
 
hivi hawajazungumzia watu wataenda chuo lini?manake kuna wanaodai ni january mwakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…