Nimeusoma lakini Waraka unaongelea mda wa kuanza kwa mitihani kwa form four na form six,pia mda wa kujiunga na vyuo vya ualimu.Hakuna sehemu wameongelea vyuo vikuu kabisa.
mkuu ardhi k2 cha (LMV nin au BAF) ila mm Ardhi uhakika kwenye Building economics(Quantity suverying) coz waliomba 658 waliowekewa yes 278 tulioweka first choice 75 wakat chuo kinachukua watu 150 kwa hyo kozi! Xo God akipenda tutakutana ARUUUUU!! mwana ndabooooo lizangat mpaka kielewekeee
mkuu ardhi k2 cha (LMV nin au BAF) ila mm Ardhi uhakika kwenye Building economics(Quantity suverying) coz waliomba 658 waliowekewa yes 278 tulioweka first choice 75 wakat chuo kinachukua watu 150 kwa hyo kozi! Xo God akipenda tutakutana ARUUUUU!! mwana ndabooooo lizangat mpaka kielewekeee
BAF first choice
Land valuation 3rd choice...sidhani kama hii ntapata nshajiexclude hapa
mbona mimi kuangalia wangapi wameandikiwa yes na wangapi waliomba inagoma kufunguka, nisaidie aise
kakaa unaonajee huo mfumoo lakin! Me nina YES zote ila Sua majanga agribsness watu buku3 wameomba waliowekewa yes watu buku na mia nane! Walioweka 1st choice wat mia nane na koz inahitaji watu 220! Mbrazil angalia kwenye profle yako hujue una uhakikaa chuo gan
aise kazi.ardhi ,mzumbe,na ud wengi pia,lakn ruco mbrazil umewekewa no kwanini wakat watu wana EEE na f za hesabu o level na advance eca wamewekewa yes?kwa couse ya bafit
mkuu ardhi k2 cha (LMV nin au BAF) ila mm Ardhi uhakika kwenye Building economics(Quantity suverying) coz waliomba 658 waliowekewa yes 278 tulioweka first choice 75 wakat chuo kinachukua watu 150 kwa hyo kozi! Xo God akipenda tutakutana ARUUUUU!! mwana ndabooooo lizangat mpaka kielewekeee
kakaa unaonajee huo mfumoo lakin! Me nina YES zote ila Sua majanga agribsness watu buku3 wameomba waliowekewa yes watu buku na mia nane! Walioweka 1st choice wat mia nane na koz inahitaji watu 220! Mbrazil angalia kwenye profle yako hujue una uhakikaa chuo gan
Kaka kuangalia idad ya wa2 walio omba kwenye kozi unafanyeje hapo
dah! chuo kimetoa nafasi moja ya kozi, na tulio omba watu 9.... yani ni baraa