pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Acha uongo wewe! mimi nimetoa damu mara 2 na nilichanja tena chanjo mbili tofauti, Jansen na Pfizer na hakuna kitu unachokisema hapo.
Mishirikina hiyo imezoea ushirikina tuuuuNi uongo mbn Kuna jamaa yangu alipata chanjo ya Corona na anajitolea Damu Kila mwaka kuanzia mwaka jana ,na mwaka huu kachangia Damu.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Watu wanakwenda kisayansi wao wamekalia ushirikina na misanamu yao