Mnaotumia App ya UTT Amis naomba msaada kwenye hili

Mnaotumia App ya UTT Amis naomba msaada kwenye hili

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
WanajF naomba mnisaidie hasa wale wanaotumia App ya UTT Amis! Nilifungua akaunti kwa kutumia hiyo App sasa pale kwenye usajili wa namba ya simu ya kutumia inanitaka niingize OTP wanayotumia kwenye simu!

Baada ya kuweka hiyo OTP inakubaliwa na kunitaka niingize namba ya siri!Ajabu kila namba ya siri ninayoingiza inakataa!Msaada nyie mlifanyaje?

Pia ukitaka kuviona vipande katika akaunti yako unaenda wapi?
 
WanajF naomba mnisaidie hasa wale wanaotumia App ya Utt Amis!Nilifungua akaunti kwa kutumia hiyo App sasa pale kwenye usajili wa namba ya simu ya kutumia inanitaka niingize OTP wanayotumia kwenye simu!Baada ya kuweka hiyo OTP inakubaliwa na kunitaka niingize namba ya siri!Ajabu kila namba ya siri ninayoingiza inakataa!Msaada nyie mlifanyaje?Pia ukitaka kuviona vipande katika akaunti yako unaenda wapi?
Moja ya eneo utt ni wa hovyo ni kwenye hiyo app. Mimi mwenyewe nilipitia hali hii mpaka akaunti wakaifungia maana sikutengeneza namba ya siri lakini wanaiomba. Labda ufike ofisini kwao
 
Moja ya eneo utt ni wa hovyo ni kwenye hiyo app. Mimi mwenyewe nilipitia hali hii mpaka akaunti wakaifungia maana sikutengeneza namba ya siri lakini wanaiomba. Labda ufike ofisini kwao
Nashukuru sana kwa ushauri,nitaufanyia kazi!Vipi kuhusu kuona kilichomo kwenye akaunti kama vipande nakadhalika unafanyaje?
 
Moja ya eneo utt ni wa hovyo ni kwenye hiyo app. Mimi mwenyewe nilipitia hali hii mpaka akaunti wakaifungia maana sikutengeneza namba ya siri lakini wanaiomba. Labda ufike ofisini kwao
Nashukuru sana kwa ushauri,nitaufanyia kazi!Vipi kuhusu kuona kilichomo kwenye akaunti kama vipande nakadhalika unafanyaje?
 
Mkuu kabla haujaenda kwenye App jisajili kwanza kwenye menu yao ya *150*82# ukishamaliza watakupa option ya kuweka no ya siri ,baada ya hapo ndo utaweza kuingia kwenye app

Huwezi tengenezea no ya siri kwenye app yao ni kama ilivyo kwa app ya Crdb mobile qpp
 
WanajF naomba mnisaidie hasa wale wanaotumia App ya Utt Amis!Nilifungua akaunti kwa kutumia hiyo App sasa pale kwenye usajili wa namba ya simu ya kutumia inanitaka niingize OTP wanayotumia kwenye simu!Baada ya kuweka hiyo OTP inakubaliwa na kunitaka niingize namba ya siri!Ajabu kila namba ya siri ninayoingiza inakataa!Msaada nyie mlifanyaje?Pia ukitaka kuviona vipande katika akaunti yako unaenda wapi?
Iyo utt ni kitu ghani!
 
Mkuu kabla haujaenda kwenye App jisajili kwanza kwenye menu yao ya *150*82# ukishamaliza watakupa option ya kuweka no ya siri ,baada ya hapo ndo utaweza kuingia kwenye app

Huwezi tengenezea no ya siri kwenye app yao ni kama ilivyo kwa app ya Crdb mobile qpp
Huko ndiko nilikoanzia ikagoma!Ilikuwa inanitumia ujumbe wa ombi limeshindikana!Nikawasiliana nao wakadai nifungue akaunti kupitia App,nikafanya hivyo ila nikashindwa kuipata akaunti namba,nikawasiliana nao kwa barua pepe wakanitumia akaunti namba! Ajabu siwezi kuendelea mbele na nikirudi kutumia *150*82# nako inagoma!Msaada please!
 
WanajF naomba mnisaidie hasa wale wanaotumia App ya UTT Amis! Nilifungua akaunti kwa kutumia hiyo App sasa pale kwenye usajili wa namba ya simu ya kutumia inanitaka niingize OTP wanayotumia kwenye simu!

Baada ya kuweka hiyo OTP inakubaliwa na kunitaka niingize namba ya siri!Ajabu kila namba ya siri ninayoingiza inakataa!Msaada nyie mlifanyaje?

Pia ukitaka kuviona vipande katika akaunti yako unaenda wapi?
Nenda ofisini kwao wakurekebishie, hata mimi nilipata changamoto nikaenda ofisini kwao na wakanirekebishia sasa natumia app kuweka na kutoa bila shida kabisa
 
Nenda ofisini kwao wakurekebishie, hata mimi nilipata changamoto nikaenda ofisini kwao na wakanirekebishia sasa natumia app kuweka na kutoa bila shida kabisa
Nielekeze namna ya kutoa hela kupitia App ya UTT mkuu.
 
Utt ndio nin jamani tupeane mchongo😡😡
 
Nielekeze namna ya kutoa hela kupitia App ya UTT mkuu.
Kutoa au kuuza vipande tumia ussd yao *150*82# nenda sehem ya kuuza vipande utaweka kiasi unachotaka kuuza halaf utapata meseji na utasubiri ndan ya siku 3 za kazi pesa itaingia kwenye akaunt yako ya bank uliyojisajili nayo.. kuuza vipande mwisho ni mil 2 kwa siku.

Nb: hakikisha una salio au vocha ukitumia ussd yao
 
Unaweza pia kuuza vipande Kwa kupitia UTT AMIS App. Ukiingia kwenye App unachagua Sell Units Kisha unaweza kiasi na ku submit.
 
Kutoa au kuuza vipande tumia ussd yao *150*82# nenda sehem ya kuuza vipande utaweka kiasi unachotaka kuuza halaf utapata meseji na utasubiri ndan ya siku 3 za kazi pesa itaingia kwenye akaunt yako ya bank uliyojisajili nayo.. kuuza vipande mwisho ni mil 2 kwa siku.

Nb: hakikisha una salio au vocha ukitumia ussd yao
Nashukuru sana kwa maelezo mazuri!Mimi ni mgeni mno kwa UTT!Ndiyo nimeanza
 
WanajF naomba mnisaidie hasa wale wanaotumia App ya UTT Amis! Nilifungua akaunti kwa kutumia hiyo App sasa pale kwenye usajili wa namba ya simu ya kutumia inanitaka niingize OTP wanayotumia kwenye simu!

Baada ya kuweka hiyo OTP inakubaliwa na kunitaka niingize namba ya siri!Ajabu kila namba ya siri ninayoingiza inakataa!Msaada nyie mlifanyaje?

Pia ukitaka kuviona vipande katika akaunti yako unaenda wapi?
Ila hizi taasisi zetu ni changamoto. Hivi kweli hakuna watu wa UTT wanapita humu? Huyu jamaa anayo genuine problem. Asaidiwe.
 
Ikiwa nimeweka fedha zangu na nikahitaji kujiondoa, naweza chukua fedha zangu zote kwa UTT?
Quote ReplyReport Edit
 
Ikiwa nimeweka fedha zangu na nikahitaji kujiondoa, naweza chukua fedha zangu zote kwa UTT?
Quote ReplyReport Edit

Yes mkuu inawezekana, Lakini pia mifuko imetofautiana terms na conditions
Mfano mifuko hii 👇🏻
Jikimu fund
Liquid fund
Umoja fund

Unaweza ukachukua fedha zako muda wowote hata siku moja baada ya kufungua account

Ila mifuko hii

Bond fund
Wekeza maisha fund

Kuna taratibu za tofauti kidogo

Bond fund
Ukishafungua A/C huruhusiwi kutoa pesa mpaka miezi 3-6 ipite kwanza ndo utaweza kutoa pesa zako

Wekeza maisha fund
Ukishafungua A/C huruhusiwi kutoa pesa katika Kipindi cha miaka 10, japo ikisha pita miaka 5 unaweza ukatoa kiasi cha pesa zako, ila kama unataka kutoa zote itabidi usubiri mpaka miaks 10 ipite
 
Back
Top Bottom