Mnaotumia p2 hamtaiona pepo, maana mnatenda dhambi ya kuua

Mnaotumia p2 hamtaiona pepo, maana mnatenda dhambi ya kuua

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Usihamaki. Huu ndiyo ukweli.

Kwani uhai unaanzia ngazi gani ya kibayolojia? Mayai ya mwanamke siyo kitu hai? Kama ni kitu hai kilichosanifiwa na mwenyezi Mungu wewe una mamlaka ya kukiua? Bila shaka jibu ni HAPANA. P2 inauwa mayai na mbegu za kiume ili vishindwe kurutubishana na kutoa kiumbechembe (zygote).

Hivyo basi, watumiajii wa p2 hamna tofauti na watoa mimba. Ninyi mnatoa mimba ktk ngazi ya mwanzo zaidi.
Kuna wanawake wanatenda dhambi ya :-
1. Kuua mayai na kiumbechembe kwa p2.
2. Kuua mimba kwa kuitoa.
3. Kuua mtoto kwa kuwatupa.

Ushawahi kujiuliza kwann maandiko yameharamisha masterbation (punyeto)? Sababu ni hiyo hiyo. Kwamba kwa kuzimwaga nje mbegu unaziua. Hivyo unakatili uhai wa mbegu za kiume zilizoumbwa na mwenyezi Mungu.

Nimalizie kwa kusema watumiaji wa p2 na wapiga punyeto wote pepo hamtaiona.
 
Wachoma sindano na waweka vitanzi bila kusahau wameza vidonge? Je kwahivo ni halali kila mwaka mtu azae? Maana bila hivo mwanamke akishajifungua baada ya ile miezi 3 ya uzazi mzunguko ukikaa sawa tu ukijichanganya imoooooo.....itakuwaje kuhusu kichanga?
 
Usihamaki. Huu ndiyo ukweli.

Kwa I uhai inaanzia ngazi gani ya kibayolojia? Mayai ya mwanamke siyo kitu hai? Kama ni kitu hai kilichosanifiwa na mwenyezi Mungu wewe una mamlaka ya kukiua? Bila shaka jibu ni HAPANA. P2 inauwa mayai na mbegu za kiume ili vishindwe kurutubishana na kutoa kiumbechembe (zygote).

Hivyo basi, watumishi wa p2 hamna tofauti na watoa mimba. Ninyi mnatoa mimba ktk ngazi ya mwanzo zaidi.
Kuna wanawake wanatenda dhambi ya :-
1. Kuua mayai na kiumbechembe kwa p2.
2. Kuua mimba kwa kujitoa.
3. Kuua mtoto kwa kumtupa.

Ushawahi kujiuliza kwann maandiko yameharamisha masterbation (punyeto)? Sababu ni hiyo hiyo. Kwamba kwa kuzimwaga nje mbegu unaziua. Hivyo unakatili uahai wa mbegu za kiume zilizoumbwa na mwenyezi Mungu.

Nimalizie kwa kusema watumia p2 na wapiga punyeto wote pepo hamtaiona.
Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa sperms million kufa na mmoja kubaki, Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa mayai kufa kwa menstruation, Mungu wako huyo huyo ametengeneza siku salama, Mungu wako huyo huyo anasababisha miscarriage na still births, Mungu wako huyo huyo ameua watoto wake karibu wote bila huruma kwenye mafuriko, Sodom na Gomorrah, watoto wa kwanza wa misri, watoto wa maeneo waisraeli waliamuliwa kuteka na kadhalika...
Huyo ni muuaji namba moja wa watoto hawezi kutuambia kitu
 
Karma is real ropoka ukirudia tena kuzaliwa ukazaliwa mwanamke nitacheka
 
Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa sperms million kufa na mmoja kubaki, Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa mayai kufa kwa menstruation, Mungu wako huyo huyo ametengeneza siku salama, Mungu wako huyo huyo anasababisha miscarriage na still births, Mungu wako huyo huyo ameua watoto wake karibu wote bila huruma kwenye mafuriko, Sodom na Gomorrah, watoto wa kwanza wa misri, watoto wa maeneo waisraeli waliamuliwa kuteka na kadhalika...
Huyo ni muuaji namba moja wa watoto hawezi kutuambia kitu
Oooh, say no more...idiot
 
Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa sperms million kufa na mmoja kubaki, Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa mayai kufa kwa menstruation, Mungu wako huyo huyo ametengeneza siku salama, Mungu wako huyo huyo anasababisha miscarriage na still births, Mungu wako huyo huyo ameua watoto wake karibu wote bila huruma kwenye mafuriko, Sodom na Gomorrah, watoto wa kwanza wa misri, watoto wa maeneo waisraeli waliamuliwa kuteka na kadhalika...
Huyo ni muuaji namba moja wa watoto hawezi kutuambia kitu
Yeye ndiye muuambaji wa vyote, hivyo anayo haki na mamlaka ya kuua.

Ndiyo maana ya usemi wa "Bwana alitoa, Bwana ametwaa".
 
Wachoma sindano na waweka vitanzi bila kusahau wameza vidonge? Je kwahivo ni halali kila mwaka mtu azae? Maana bila hivo mwanamke akishajifungua baada ya ile miezi 3 ya uzazi mzunguko ukikaa sawa tu ukijichanganya imoooooo.....itakuwaje kuhusu kichanga?
kam. kiumbe kama ng'ombe anajua anaweza kujidhibiti ww.unashindwaje mbn kuna njia ya asili ukiona umeshirki ktk siku isio salama waulizen wazee usasa huu
 
kam. kiumbe kama ng'ombe anajua anaweza kujidhibiti ww.unashindwaje mbn kuna njia ya asili ukiona umeshirki ktk siku isio salama waulizen wazee usasa huu
"Kama ng'ombe anajua anaweza kujidhibiti wewe unashindwaje?" [emoji119][emoji1787]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
"Kama ng'ombe anajua anaweza kujidhibiti wewe unashindwaje?" [emoji119][emoji1787]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
ni kweli kiumbe wa kiume king'ang'anizi kumwambia unaumwa siku umeona mbaya sio vby ni akili piah hio ,japo njia njema na salam wawafundishe waume zao kujua madhara ya ikitokea wachukue tahadhari ikiwezekan ajue na siku
 
Babu sio kwa wanaume hawa wa sasa!! Kuna mmoja ana uzi wake humu anauliza afanye nini mkewe akiwa ana bleed, sembuse umkatalie siku za hatari??? Si ndo atakubaka!!?
Hahaha......poleni Mjukuu, kwani wanashindwa kumwagia nje hao Vijana?🤗
 
Back
Top Bottom