Usihamaki. Huu ndiyo ukweli.
Kwani uhai unaanzia ngazi gani ya kibayolojia? Mayai ya mwanamke siyo kitu hai? Kama ni kitu hai kilichosanifiwa na mwenyezi Mungu wewe una mamlaka ya kukiua? Bila shaka jibu ni HAPANA. P2 inauwa mayai na mbegu za kiume ili vishindwe kurutubishana na kutoa kiumbechembe (zygote).
Hivyo basi, watumiajii wa p2 hamna tofauti na watoa mimba. Ninyi mnatoa mimba ktk ngazi ya mwanzo zaidi.
Kuna wanawake wanatenda dhambi ya :-
1. Kuua mayai na kiumbechembe kwa p2.
2. Kuua mimba kwa kuitoa.
3. Kuua mtoto kwa kuwatupa.
Ushawahi kujiuliza kwann maandiko yameharamisha masterbation (punyeto)? Sababu ni hiyo hiyo. Kwamba kwa kuzimwaga nje mbegu unaziua. Hivyo unakatili uhai wa mbegu za kiume zilizoumbwa na mwenyezi Mungu.
Nimalizie kwa kusema watumiaji wa p2 na wapiga punyeto wote pepo hamtaiona.
Kwani uhai unaanzia ngazi gani ya kibayolojia? Mayai ya mwanamke siyo kitu hai? Kama ni kitu hai kilichosanifiwa na mwenyezi Mungu wewe una mamlaka ya kukiua? Bila shaka jibu ni HAPANA. P2 inauwa mayai na mbegu za kiume ili vishindwe kurutubishana na kutoa kiumbechembe (zygote).
Hivyo basi, watumiajii wa p2 hamna tofauti na watoa mimba. Ninyi mnatoa mimba ktk ngazi ya mwanzo zaidi.
Kuna wanawake wanatenda dhambi ya :-
1. Kuua mayai na kiumbechembe kwa p2.
2. Kuua mimba kwa kuitoa.
3. Kuua mtoto kwa kuwatupa.
Ushawahi kujiuliza kwann maandiko yameharamisha masterbation (punyeto)? Sababu ni hiyo hiyo. Kwamba kwa kuzimwaga nje mbegu unaziua. Hivyo unakatili uhai wa mbegu za kiume zilizoumbwa na mwenyezi Mungu.
Nimalizie kwa kusema watumiaji wa p2 na wapiga punyeto wote pepo hamtaiona.