Mnaotumia p2 hamtaiona pepo, maana mnatenda dhambi ya kuua

Mnaotumia p2 hamtaiona pepo, maana mnatenda dhambi ya kuua

Kutumia P2 ni kuua mtoto wako mtarajiwa. Otherwise kwann uimeze. Bora hata mwanaume kuvaa condom hatuwezi hesabu.

Ndio maana mwanaume anaweza tumia condom kwa miaka 10 hata 20 ila ukifika muda akaamua kuwa sasa anataka kupata mtoto au watoto, atawapata bila shida sababu kutumia condom hakuna madhara katika mfumo wa uzazi wala haina maudhui ya kuua bali kuzuia tu maradhi na mimba kutunga.

Ila kutumia P2 ni dhamira ya kuua. Na ukitumia hizi dawa kwa zaidi ya miaka 10 au zaidi, then jiandae tu kuwa mgumba maana huo mfumo wako wa uzazi kama mwanamke hautakuwa salama hata kidogo.
 
Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa sperms million kufa na mmoja kubaki, Mungu wako huyo huyo ametengeneza mfumo wa mayai kufa kwa menstruation, Mungu wako huyo huyo ametengeneza siku salama, Mungu wako huyo huyo anasababisha miscarriage na still births, Mungu wako huyo huyo ameua watoto wake karibu wote bila huruma kwenye mafuriko, Sodom na Gomorrah, watoto wa kwanza wa misri, watoto wa maeneo waisraeli waliamuliwa kuteka na kadhalika...
Huyo ni muuaji namba moja wa watoto hawezi kutuambia kitu
Aloo huyo Mungu anastahili kifungo kwa mauaji yote haya.

Mungu huyo ameua maelfu ya watoto, murderer God.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Njia salama ni ya kufuata Calendar tu

Siku mwenzi wako akiwa Siku za hatari hamshiriki
Me nashangaa sijui watu wanakwama wapi na kalenda. Ila nadhani moja wapo ya sababu ya watu kufeli kutumia kalenda ni pamoja na kuwa na mabwana wengi.

Mwanamke anawezaje kujicontrol kama anakuwa na wanaume wengi wanaomuingilia kila wakati?

Kwa wastani binti wa kisasa unakuta ana wanaume 6 hadii 10. Na wanamrukia wote anachofanya ni kuwa shuffle.

Kwa wiki unakuta ameshalala na wanne. Siku za mwezi ni tano. Ukitoa hizo tano zilizobakia ndipo mshike mshike wa kuingiliwa umelala hapo, bado hajameza maP2.

Tafrani.

Mwanamke asipokuwa na umalaya anakuwa salama na anajilinda na mengi sana.
 
Me nashangaa sijui watu wanakwama wapi na kalenda. Ila nadhani moja wapo ya sababu ya watu kufeli kutumia kalenda ni pamoja na kuwa na mabwana wengi.

Mwanamke anawezaje kujicontrol kama anakuwa na wanaume wengi wanaomuingilia kila wakati?

Kwa wastani binti wa kisasa unakuta ana wanaume 6 hadii 10. Na wanamrukia wote anachofanya ni kuwa shuffle.

Kwa wiki unakuta ameshalala na wanne. Siku za mwezi ni tano. Ukitoa hizo tano zilizobakia ndipo mshike mshike wa kuingiliwa umelala hapo, bado hajameza maP2.

Tafrani.

Mwanamke asipokuwa na umalaya anakuwa salama na anajilinda na mengi sana.
Umesema sahihi Mkuu, yote uliyoyaandika hapa ni kweli tupu 👏👏
 
Babu sio kwa wanaume hawa wa sasa!! Kuna mmoja ana uzi wake humu anauliza afanye nini mkewe akiwa ana bleed, sembuse umkatalie siku za hatari??? Si ndo atakubaka!!?
unafikiri kasumba hii imeanza wapi naanza hapa
Tamaduni tumejengewa sasa na sio kosa lao waachen matumiz ya hivyo vizingiti mimba na warudishe afya zao sina usahihi lakini dawa ya vizingiti mimba inaleta shida ya kumfanya mwanaume kupenda ngono san nitaleta tafiti utajua
 
We waache siku ya mwisho huko ahera watakutanishwa na watoto wao utakuta dada mmoja ana vitoto 25 vyote aliviua
 
Yeye ndiye muuambaji wa vyote, hivyo anayo haki na mamlaka ya kuua.

Ndiyo maana ya usemi wa "Bwana alitoa, Bwana ametwaa".
🤣🤣Mnajua kumtetea kinoma...bac na mwanamke akitumia p2 usimlaumu ni tumbo lake
 
Wanaotumia p2 hakuna uuwaji wanaoufanya.Mimba hutungwa baada ya siku3 tangu mkutane kimwili,yani ile fertilization ya kuunganisha yai la mwanamke na mbegu ya mwanaume.P2 inazuia mimba isitungwe,kwaiyo hakuna wanachoua.
Wafia dini na sayansi ni paka na mbwa achana nao
 
unafikiri kasumba hii imeanza wapi naanza hapa
Tamaduni tumejengewa sasa na sio kosa lao waachen matumiz ya hivyo vizingiti mimba na warudishe afya zao sina usahihi lakini dawa ya vizingiti mimba inaleta shida ya kumfanya mwanaume kupenda ngono san nitaleta tafiti utajua
So mwanaume mwenzako akipenda ngono Sana we unawashwa
 
Kutumia P2 ni kuua mtoto wako mtarajiwa. Otherwise kwann uimeze. Bora hata mwanaume kuvaa condom hatuwezi hesabu.

Ndio maana mwanaume anaweza tumia condom kwa miaka 10 hata 20 ila ukifika muda akaamua kuwa sasa anataka kupata mtoto au watoto, atawapata bila shida sababu kutumia condom hakuna madhara katika mfumo wa uzazi wala haina maudhui ya kuua bali kuzuia tu maradhi na mimba kutunga.

Ila kutumia P2 ni dhamira ya kuua. Na ukitumia hizi dawa kwa zaidi ya miaka 10 au zaidi, then jiandae tu kuwa mgumba maana huo mfumo wako wa uzazi kama mwanamke hautakuwa salama hata kidogo.
One question

How does that concern you
 
Back
Top Bottom