Mnaotumia simu ya laini moja na kutembea na ya ziada kwa laini ya pili huwa hamuoni unafuu kutumia simu zenye laini 2?

Duh
Kama jambazi mzee
Inalazimika kwa mfano sisi maafisa ubashiri huwa hatupendi zile message za mikeka au matangazo ziingie kwenye namba ya kawaida inayojulikana na wife, anawaka.
 
Hatuoni mzigo

Binafsi hiko kiswaswadu nakigusa mpaka nisikie kinaita.. kama hakijaita naweza shtuka kimezima chaji
 
Ww ni tapeli
 
Ww ni tapeli
Hata sio utapeli. Hapo laini za matumizi ni 4, ya 5 ni miamala tu.
Je kuwa na laini 4 ni utapeli?
Laini 2 mawasiliano ya watu wote
Laini 1 watu wote isipokuwa kazini.
Laini 1 ni kama namba ya dharura, wanapewa mademu, polisi, kubeti nk.
Ukifanya hivi hakuna siku wife atakushitukia kama unachepuka. Maana mchepuko unaupa namba maalum, ukifika home unazuia kwa ussd msg zisiingie, kisha unachomeka simu charge unawambia wife zikijaa achomoe kisha wewe unaenda kucheza draft huko.
Hata achunguze vp hakupati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…