genius_
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 474
- 1,237
Mkuu mm nimejaribu kudownlod lkn kila niki install inakataa,au ni simu haisapoti hii gb?Tafuta kwa website ya ANDROID WAVES ana mods zote...
Natumia redmi note 11
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mm nimejaribu kudownlod lkn kila niki install inakataa,au ni simu haisapoti hii gb?Tafuta kwa website ya ANDROID WAVES ana mods zote...
Simu yako android ngapi? Na je una mod nyingne ume install tayari?Mkuu mm nimejaribu kudownlod lkn kila niki install inakataa,au ni simu haisapoti hii gb?
Natumia redmi note 11
Au unakuta umefuta status mtu anakuja kuicomment.Matumiz ya GB whatsapp ni moja ya dalili za utoto, Sometimes na umbea,
Una view Status then unajifich why
Au unakuta umefuta status mtu anakuja kuicomment.Matumiz ya GB whatsapp ni moja ya dalili za utoto, Sometimes na umbea,
Una view Status then unajifich why
WhatsApp GB si rahisi kuipakua.
Inahitaji proffessional.
Anaetumia Whatsapp ya kawaida kasheshe kwake ni pale anafuta kitu cha aibu huku wenye GB Whatsapp haifutiki patamu hapa.
Feature ipi nyingine wadau tupia hapa
Mbona hata ya kawaida unaweza kuficha,,,,watu wanakimbia zile mesej mtu katuma ukichungulia tu anataka ujibu muda huohuo ukikawia lawamaMatumiz ya GB whatsapp ni moja ya dalili za utoto, Sometimes na umbea,
Una view Status then unajifich why
Tumia FM Whatsapp(fouad mod)hii ni bestKero kuu iliyopo GB ni kila mara kuniambia niUpdate. Nifanyeje kuziwia hili??
Hii wanatumia sana wadangaji na matapeli , no last seen, no blue ticks,Matumiz ya GB whatsapp ni moja ya dalili za utoto, Sometimes na umbea,
Una view Status then unajifich why
Ha ha haAu unakuta umefuta status mtu anakuja kuicomment.
Huwa simjibu mtu wa aina hii
Ha ha ha ipoje hii kaka?Na sasa kuna YoWhatsApp...