PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Lakini watu wa SIMBA mbona hamtupi heshima yetu wanayanga?Haya jumlisha na kombe la maloose...Shirikisho halafu lete
Kwahiyo timu ilioshuka daraja sauzi malumo gallants ni sawa bingwa wa ligi kuu bara (utopolo)?Simaanishi assist moja ya SPL ni sawa na 6 za NBC PL. Ila league ya south ni ya viwango vya juu kuliko NBC PL.
Kwa hyo thread isifungwe.
Heshima ya kufika fainali ya kombe la maluza? - hajis manara 2021Lakini watu wa SIMBA mbona hamtupi heshima yetu wanayanga?
ujue sisi ni timu pekee toka TZ kufika final CAF shirikisho.
Kwa nini msiheshimu scouting yetu?
Hata hao wengine age zipo hivyo hivyo ila wanachakachua, onyango ana 29Miaka 33! Hapa wananchi tumecheza kamari.
Rage anawajua kuliko tuwajuavyoUnataka kusema CHIVAVIRO ni sawa na John Bocco kwa kua boco kacheza michuano ya klabu bingwa Africa??
Unataka kusema SADIO KANUTI ni Bora kuliko akaminko kwa kua sadio kanuti kacheza michuano ya klabu bingwa Africa??
Unataka kusema ambundo ni Bora kuliko kipre junior kwa kua ana medali ya kombe la shirikisho Africa???
Fikili Mara mbili kabla hujatoa hoja yako.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mara ngapi Chama anapata mpira kamchenga hadi kipa yupo yeye na goli lakini unaona anatoa assist?