Mnaovulia nguo ndani ya shuka, eti huwa mnaficha nini???

Hahahaaa...

Sehemu za siri zitabaki kua za siri tu aliyetunga hili jina aliwaza mbali sana.

Baadhi ya watu wanapenda tu kuhakikisha siri zao hazionekani hadharani sana.

Mleta uzi kwani wewe kilichokupeleka ni kuishangaa au kuisikilizia?
 
Hahahaaa...

Sehemu za siri zitabaki kua za siri tu aliyetunga hili jina aliwaza mbali sana.

Baadhi ya watu wanapenda tu kuhakikisha siri zao hazionekani hadharani sana.

Mleta uzi kwani wewe kilichokupeleka ni kuishangaa au kuisikilizia?
Kuiona na kucheza nayo
 
Pole sana kwa yaliyokupata mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo hajakulia uswahilini mitaa ya mwembekiuno maana huko iyo michezo tumeianza since standard 5 shule ya msingi kwa mama mere, so just imagine sasa ivi tuko katika level za kucheza porno na ukizubaa natia ulimi na kukuamba ruti kabisa...kwi kwi kwi
 
Halafu anarudi ameshajifuta na boxer kavaaa
Anazima taa anaingia ndani ya shuka
Mtu unabaki mdomo wazi uelewi!

Hao watu bado wapo au unasimulia stori za kale?
 
Hahahaaaa kuna mmoja alijifungia bafuni na komeo kabisa

Nikabaki heee hivi kuna kitu hapa!!!?

Seriously nilishangazwa
ikawaje baadae malizia basi, uliona nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…