Mnaoweka mkojo kwenye chupa na kutupa barabarani mnakwaza

Mnaoweka mkojo kwenye chupa na kutupa barabarani mnakwaza

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Hivi mtu unafikira nini mpaka unatoa haja ndogo na kuweka kwenye chupa na kisha kwenda kutupa mtaani? Huoni kwa kufanya hivyo mbali na kuharibu mazingira unahatarisha afya za wanaotumia barabara hiyo?


Kawe, DSM

Hizo kwenye video siyo petroli au pombe, ni mkojo! Lita mbili na zaidi! Mbaya zaidi nimekuta watoto wakiwa wanaenda shule wanagombania kuokota vizibo maeneo hayo, wakati chupa moja ikiwa imekanyagwa na gari na kufanya mchanga maeneo hayo uwe umeloa mkojo. Watoto hao washaokota mangapi hapo?

Wajuba embu kuweni serious basi, unakuwaje mchafu kiasi hicho na hata hujishtukii?
 
Hivi mtu unafikira nini mpaka unatoa haja ndogo na kuweka kwenye chupa na kisha kwenda kutupa mtaani? Huoni kwa kufanya hivyo mbali na kuharibu mazingira unahatarisha afya za wanaotumia barabara hiyo?

View attachment 2535611
Kawe, DSM

Hizo kwenye video siyo petroli au pombe, ni mkojo! Lita mbili na zaidi! Mbaya zaidi nimekuta watoto wakiwa wanaenda shule wanagombania kuokota vizibo maeneo hayo, wakati chupa moja ikiwa imekanyagwa na gari na kufanya mchanga maeneo hayo uwe umeloa mkojo. Watoto hao washaokota mangapi hapo?

Wajuba embu kuweni serious basi, unakuwaje mchafu kiasi hicho na hata hujishtukii?
Sio wanakwaza tu bali ni wehu binadamu uliyestaarabika huwezi jisaidia alafu ukatupa kinyesi hadharani.
 
Hhaaaaaa, wanaume wanakazana lengesha mmmm kwa mdomo wa chupa ....... badae waneza waza mengineyoo
 
Hivi mtu unafikira nini mpaka unatoa haja ndogo na kuweka kwenye chupa na kisha kwenda kutupa mtaani? Huoni kwa kufanya hivyo mbali na kuharibu mazingira unahatarisha afya za wanaotumia barabara hiyo?

View attachment 2535611
Kawe, DSM

Hizo kwenye video siyo petroli au pombe, ni mkojo! Lita mbili na zaidi! Mbaya zaidi nimekuta watoto wakiwa wanaenda shule wanagombania kuokota vizibo maeneo hayo, wakati chupa moja ikiwa imekanyagwa na gari na kufanya mchanga maeneo hayo uwe umeloa mkojo. Watoto hao washaokota mangapi hapo?

Wajuba embu kuweni serious basi, unakuwaje mchafu kiasi hicho na hata hujishtukii?
hiyo tabia ilianzishwa na madereva na makonda kisha ikaamia kwa madereva wa maloli sasa kwa vijana wa mitaani
 
Hizi jamii zetu za kiafrika sidhani kama kuna siku zitakuja kustaarabika.
 
Vijana wa usafiri mtandao ndo zao coz wanahamahama na toilet service aghali basi wanarahisisha tu
 
Back
Top Bottom