Hivi nyie wenye marafiki ambao mnatembeleana na kukutana physically weekend mnawapata wapi?
Mbona mi niko mwenyewe sana Yaani weekend nazichukia bora weekdays nikiwa kazini muda unaenda ila weekend niko mwenyewe kama zombie.
Nijichanganye wapi na mimi nijuane ata na washkaji wawili watatu. Kwenye simu ninao wana wengi sana tunaweza chat ata masaa 100, ila physically sio kabisa.
Sinywi pombe, sio mshabiki wa mpira, siendi kanisani.. Nipo nipo tu
Hivi nyie wenye marafiki ambao mnatembeleana na kukutana physically weekend mnawapata wapi?
Mbona mi niko mwenyewe sana Yaani weekend nazichukia bora weekdays nikiwa kazini muda unaenda ila weekend niko mwenyewe kama zombie.
Nijichanganye wapi na mimi nijuane ata na washkaji wawili watatu. Kwenye simu ninao wana wengi sana tunaweza chat ata masaa 100, ila physically sio kabisa.
Sinywi pombe, sio mshabiki wa mpira, siendi kanisani.. Nipo nipo tu
Kama huwezi kuwa na marafiki jifunze kupenda mpira!,ila usishabikie simba wala yanga.Hivi nyie wenye marafiki ambao mnatembeleana na kukutana physically weekend mnawapata wapi?
Mbona mi niko mwenyewe sana Yaani weekend nazichukia bora weekdays nikiwa kazini muda unaenda ila weekend niko mwenyewe kama zombie.
Nijichanganye wapi na mimi nijuane ata na washkaji wawili watatu. Kwenye simu ninao wana wengi sana tunaweza chat ata masaa 100, ila physically sio kabisa.
Sinywi pombe, sio mshabiki wa mpira, siendi kanisani.. Nipo nipo tu
Nyeto kweli. Napiga ila ipo katika to do list ya kuacha.Sasa hunywi pombe, huendi kanisani wala msikitini na sio shabiki wa mpira utapataje marafiki?
Ungekuwa shule afadhali ungewapata hadi wa mbegu.
Unaonekana unapiga kunyeto sana wewe π
Una hela?Hivi nyie wenye marafiki ambao mnatembeleana na kukutana physically weekend mnawapata wapi?
Mbona mi niko mwenyewe sana Yaani weekend nazichukia bora weekdays nikiwa kazini muda unaenda ila weekend niko mwenyewe kama zombie.
Nijichanganye wapi na mimi nijuane ata na washkaji wawili watatu. Kwenye simu ninao wana wengi sana tunaweza chat ata masaa 100, ila physically sio kabisa.
Sinywi pombe, sio mshabiki wa mpira, siendi kanisani.. Nipo nipo tu
Pamoja mkuu. Ngoja nitaanza basi sema hobbies zangu ni changamoto kidogo.sasa wew hufanyi anasa yoyote ile na unakaa ndani ti, utapataje ao marafik? ama mtatembeleana vip kam wew mwenyew hauna ushawish ama ucheshi wa kukaribisha majiran zako/rafiki zako
siku moja tafta mchezo/jambo unalolipenda, na upendelee kutoka kulifuata lnapofanyika public, mfano unapenda mpira, nenda vibanda umiza ama baa, na sio lazma ulewe ukifika huko, just take your juis unywe taratbu uku ukijichanganya na watu uko.
pendelea kukaa nje siku za weekend, pia shobokea wanamtaa wako upate marafiki, pia humu mtandaoni wako weng tu, tafta unaeelewana nae, mwambie mtoke weekend kuzululisha miguu hiyo, acha uzembe, wenzako tuna requests za mitoko unlimited yaan mpka zngne unasahau[emoji23][emoji23]
kuwa mkarimu, acha kujitenga utakosa vizuri,