babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
Una dini?Kawaida sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una dini?Kawaida sana.
Nitaanza na kanisani au kushabikia soka mkuu."Sinywi pombe, sio mshabiki wa mpira, siendi kanisani.. Nipo nipo tu"
Tatizo linaanza hapo unajikuta ant social
Hakuna watu mnajikuta kama introvert shaur yenu mtapitwa na mengi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mmmmmh pole nduguChristian ila Last Seen church 2013 nadhani.
labda na misibani, harusini.
Jitahid kwenda church walau upate marsfiki hukoThanks..
Unadhani kanisani kunaweza kupatikana marafiki kweli?Jitahid kwenda church walau upate marsfiki huko
Sasa mkuu mbona washkaji wa kuchat nao nina contacts kama 1000 hivi.
Ndio ila SIO kila mtu anae enda kanisan anaweza kuwa rafiki mwema na matapel wamo[emoji28]Unadhani kanisani kunaweza kupatikana marafiki kweli?
Nyeto kweli. Napiga ila ipo katika to do list ya kuacha.
Cheki iyo namba 3 hapo MB ni Mastabesheni. Hii list ya vitu nina plan kuacha.
View attachment 1970355
Kuna kipindi nilikuwa kama huyu mleta mada nilikua mahudhuria kanisani kila siku lakini ndio kama nilizidi kuwa mpweke.Ndio ila SIO kila mtu anae enda kanisan anaweza kuwa rafiki mwema na matapel wamo[emoji28]
uwez kushindwa ,jikazeePamoja mkuu. Ngoja nitaanza basi sema hobbies zangu ni changamoto kidogo.
Naangalia Formula 1 na Motor GP na naangalia movies sana.
So outings zangu sana sana ni cinema tu. Nimejaribu Bar dah nimeshindwa.
Nitajaribu Mpira niwe mshabiki wa timu local na nje moja.
[emoji134]Christian ila Last Seen church 2013 nadhani.
labda na misibani, harusini.
Kawaida tu mkuu,Hivi nyie wenye marafiki ambao mnatembeleana na kukutana physically weekend mnawapata wapi?
Mbona mi niko mwenyewe sana Yaani weekend nazichukia bora weekdays nikiwa kazini muda unaenda ila weekend niko mwenyewe kama zombie.
Nijichanganye wapi na mimi nijuane ata na washkaji wawili watatu. Kwenye simu ninao wana wengi sana tunaweza chat ata masaa 100, ila physically sio kabisa.
Sinywi pombe, sio mshabiki wa mpira, siendi kanisani.. Nipo nipo tu