Mnapata wapi Marafiki Physically?

Kunywa pombe, shabikia mpira, nenda kanisani

Life is good with friends. Ila kwenye pombe ckushauri sana
 
Ndio ila SIO kila mtu anae enda kanisan anaweza kuwa rafiki mwema na matapel wamo[emoji28]
Kuna kipindi nilikuwa kama huyu mleta mada nilikua mahudhuria kanisani kila siku lakini ndio kama nilizidi kuwa mpweke.
 
uwez kushindwa ,jikazee
 
Mtoa mada tunachohitaji ni kuishi na watu vizuri.

Kuwa na rafiki sio lazima,muhimu ishi na watu vizuri kiasi kwamba hata ukianguka chumbani uweze kupiga simu upate watu wa kukupeleka hospitali
 
Kawaida tu mkuu,
Mimi kama wewe tu,ila najisikia normal tu.. Halafu nakuwa comfortable nikiwa pekeyangu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…