Lazima ugonge sana ndo ubahatishe wa maishaNi kwamba lazima niongee sana au ni vp
Sio malaya hao sitaki
[emoji38][emoji38][emoji38]Ni kama kubeti tu, ili ule inabidi uliwe sana [emoji3][emoji3][emoji3]
Umenipa ushauri mzuri sana sema hapo kwenye kutomla sijaelewa hapoHata usijiangaishe, wakati ukifika sijui Huwa wanatokea wapi?
Ila Kuna formula ukitaka wanawake waanze kukufuatila lazima uwe na demu unaemjali.
Tafuta demu hapo kitaani au ofsini kwenu jilipue na anza kudate nae. Jitoe sana, onyesha kucare ila usimule.
Utashangaa jinsi maisha Yako yatakavyobadirika. Utawindwa Kila Kona na hotojua unatokaje.
Hali hiyo ikitokea, Tenga muda wa kufunga na kuomba Kwa week nzima, uombe ishara ya mdada sahii. Mungu alivyo mwaminifu atakukutanisha nae.
Usisahau yule wa kwanza usimule mbususu
Na ibadani ahudhurie piakukiwa na harusi nenda kahudhurie, misiba hudhuria huwez jua labda wako yuko humo usijifungie sana
yeahNa ibadani ahudhurie pia
Weee tafuta humu humu. 🤣🤣🤣🤣Salaaam vijana wenzangu naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?
Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi??