Mnapata wapi wapenzi?

Mkuu ukitaka mwenza alie seriously ni hawa hawa ila mpka wakate tamaa ya maisha baada ya kilometers kusoma mno , waamue sasa kutulia .
 
Anza kutengeneza maisha yako utakavyo, weka mipango na anza kuifanyia kazi. Lengo lako la kwanza lisiwe kumpata mwanamke bali kutengeneza maisha alafu mwanamke awe mtu wa kuyang'arisha maisha yako.
.
Kabla ya kutafuta mwanamke/ ukiwa kwenye mchakato hakikisha unajua aina ya mwanamke unayemtaka, sio usubiri mpaka aje ndo ujue mwanamke unayemtaka.
.
Jitahidi utembee, jitoe out mwenyewe au na marafiki zako.
Pia kuwa mtu wa kijamii katika jamii uliyopo. Ongea na watu.
Ukifanikisha hivyo, vitu vizuri vinakuja vyenyewe.
 
Too theoretical huyu jamaa unamchanganya tu msaidie wazo apate mbunye kwanza mengine ndio yafate
 
Tafuta p
Esa kwanza at 25 unawaza mademu tu
 

Attachments

  • Screenshot_20230207-125950_One UI Home.jpg
    152.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230207-125838_Tagged.jpg
    377.2 KB · Views: 4
Mahusiano hayana formula Mungu huruhusu kila mtu kukutana na mwenzake wa maisha kwa majira yake na njia zake. mim na mke wangu tumekutana instagram... tuna mwaka wa kumi kwenye ndoa sasa.. maisha yako poa..
 
Endelea kuishi kisiwani usichoke kupiga nyeto mpaka ukomaa
 
Too theoretical huyu jamaa unamchanganya tu msaidie wazo apate mbunye kwanza mengine ndio y

Too theoretical huyu jamaa unamchanganya tu msaidie wazo apate mbunye kwanza mengine ndio yafate
Inategemea kama anataka matokeo ya muda mrefu au matokeo tu ya kupunguza nyege.
Kama anahitaji matokeo ya muda mrefu, nilichoandika ni msaada.
Ila kwa mtu ambaye hajali matokeo ya muda mrefu ataona ni theoretical.
 
Inategemea kama anataka matokeo ya muda mrefu au matokeo tu ya kupunguza nyege.
Kama anahitaji matokeo ya muda mrefu, nilichoandika ni msaada.
Ila kwa mtu ambaye hajali matokeo ya muda mrefu ataona ni theoretical.
Huyu kwanza ni mgeni kwenye industry kwahiyo kabla hajaanza kutafuta matokeo ya muda mrefu inabidi aizoee kwanza hii tasnia ndio mana nasema hii approach yako ataona kama theory tu kwa sasa
 
Ana miaka mingapi je kamaliza chuo [emoji3063][emoji3063]
 
[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Vijana hii mbinu hawawezi ata, ahudumie halafu asile mbususu[emoji28][emoji17][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…