Umri bado mdogo huo , kula maisha acha kutamani vitu vya hovyo hovyo katika umri mdogo mdogo wanguSalaaam vijana wenzangu naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?
Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi??
We acha kumshauri mwana Upuuzi! Hizo dating Apps kwa hapa kwetu Bongo wamejaa Malaya tu! Nimetoka kumtoa mbio mmoja kaishia kuniita "SHOGA" kisa nimemtoa mkuku baada ya kuniletea habari zake za ajabu, nikamwambia "mimi sinunui Malaya!..., sipo hapa kununua Malaya" 😂👍🏾
Ndo mnavyojidanganya hivyo?! Endelea kubeba mikosi mkuu 😊👍🏾Lazima ugonge sana ndo ubahatishe wa maisha
Ndo matatizo ya kuamini kwenye shirkiNdo mnavyojidanganya hivyo?! Endelea kubeba mikosi mkuu 😊👍🏾
Kha! 😳Ndo matatizo ya kuamini kwenye shirki
Wewe hio mikosi umeitoa kwenye andiko Gani? Kama sio Imani za kishirikina, leta neno apaKha! 😳
We jamaa wa wapi?! Kwahiyo hiyo ni shirki?! 😳😂😂😂🙌🏾
Huna dini wewe mzee?!
Mtandaoni hapana nilishampataga mmoja Facebook yeye yupo dom tupo kwenye uhusiano miez mitano hatujaonana siku imefika si akampost bwana wake, DahWeee tafuta humu humu. 🤣🤣🤣🤣
Kiasi nina uoga pia ila natamanigii kufata wale wa levo zangu ila sioni pa kuwapata sasaKama ni mkiristo pia anza kuhudhuria kanisani.
Dukani wapi na sehemu unapoenda kupata mahitaji huwa huwakuti.
humu JF pia unapishana nao anza hata kuwaqote ... huwezi jua.
nadhani udomo zege ndio unakusumbua.
acha kuwafikiria wanakwake wa bar na klabu (viwanja) wengi wao ni kupiga na kusepa japo si wote unaweza bahatisha pia.
level yako maana yake nini? Acha uoga wanawake wanapenda mwanaume anayejiamini.Kiasi nina uoga pia ila natamanigii kufata wale wa levo zangu ila sioni pa kuwapata sasa