Mnapata wapi wapenzi?

Usinihisi vibaya mi ni muislam pia na naswali pia japo si swala 5
 
Ila nitafanya hii naahidi kukupa mrejesho
 
hehehe mkuu mwanamke ni akili sio umbo wala miguu, mwanamke akiwa na akili mwanaume wake lazima uvimbee mana anakua anajitambua na hahadaiki kabisaa
 
Ila nitafanya hii naahidi kukupa mrejesho
DOGO ACHANA NA HAWA WA HUMU INGAWA SI WOTE WANA TABIA ZA HOVYO! HOVYO! HUMU MAJORITY NI MABAZAZI TU! WATAKUKWANGUA UBAKI LOFA. HAWANA HAYA! WANAOMBAOMBA MNO! SIJUI HAWAKUFUNZWA MAKWAO πŸ€”πŸ€”πŸ€” AU NDO KUTOKUWA NA HAYA NA KUJISHTUKIA... ZINGATIA DOGO.
 
Mtandaoni hapana aisee nimeshatoa kisa yaliyonikuta hapo juu kwenye comment za mwanzo mwazo
 
hehehe mkuu mwanamke ni akili sio umbo wala miguu, mwanamke akiwa na akili mwanaume wake lazima uvimbee mana anakua anajitambua na hahadaiki kabisaa
Naona mnafananafanana akili! Au ni WIFE huyu na yeye yupo humu?! πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜³πŸ˜’πŸ˜°πŸ˜¨
 
Kumbe nilikuwa nyuma sana nskuahidi hilo naondoka nalo nalifanyia kazi mrejesho nitakupa dada ahsante sana ubarikiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…