Mnapata wapi wapenzi?

Mnapata wapi wapenzi?

Ulizani ninataka kuwa na wewe hapana nimekupita sana 6 years .

Nenda kaoge uwe msafi kabisa vaa kanzuu nyeupe tandika Ile zulia lenu, halafu washa ubani mashtaka ushitaki kuwa Sina mke, kama Kuna mikosi, balaah na mengi utaongeza basi usisahau ule udi ambao ni upo kama sabuni unaumega unauchoma kidogo huku ukiomba Mungu akubarikie mizimu ya baba na mama ikusaidie upate mke atakayekufaa au ulizia kwenye maduka yakisuna udi wa mapenzi fanya Kwa siku Saba . Siku 3 za mwanzo fukiza udi huo baada ya hiyo Sala ijioni utoke uonekane mitaani sehemu nzuri nzuri halafu utaniambia kama hujapata . Anza na. Ile Sala yakuanza ya kwenu sijui albarkatu sijui Nini
Ulizani ninataka kuwa na wewe hapana nimekupita sana 6 years .

Nenda kaoge uwe msafi kabisa vaa kanzuu nyeupe tandika Ile zulia lenu, halafu washa ubani mashtaka ushitaki kuwa Sina mke, kama Kuna mikosi, balaah na mengi utaongeza basi usisahau ule udi ambao ni upo kama sabuni unaumega unauchoma kidogo huku ukiomba Mungu akubarikie mizimu ya baba na mama ikusaidie upate mke atakayekufaa au ulizia kwenye maduka yakisuna udi wa mapenzi fanya Kwa siku Saba . Siku 3 za mwanzo fukiza udi huo baada ya hiyo Sala ijioni utoke uonekane mitaani sehemu nzuri nzuri halafu utaniambia kama hujapata . Anza na. Ile Sala yakuanza ya kwenu sijui albarkatu sijui Nini utaona .
Ahsante sana dada umenifungua kidogo Ina maana itakuwa ni mikosi au ni nini?
Ulizani ninataka kuwa na wewe hapana nimekupita sana 6 years .

Nenda kaoge uwe msafi kabisa vaa kanzuu nyeupe tandika Ile zulia lenu, halafu washa ubani mashtaka ushitaki kuwa Sina mke, kama Kuna mikosi, balaah na mengi utaongeza basi usisahau ule udi ambao ni upo kama sabuni unaumega unauchoma kidogo huku ukiomba Mungu akubarikie mizimu ya baba na mama ikusaidie upate mke atakayekufaa au ulizia kwenye maduka yakisuna udi wa mapenzi fanya Kwa siku Saba . Siku 3 za mwanzo fukiza udi huo baada ya hiyo Sala ijioni utoke uonekane mitaani sehemu nzuri nzuri halafu utaniambia kama hujapata . Anza na. Ile Sala yakuanza ya kwenu sijui albarkatu sijui Nini utaona .
Dah ahsante sana dada angu ila ina maana nitakuwa nimerogwa au ni mikosi tu, hivi na wengine huwa wanafanya hivi.
Usinihisi vibaya mi ni muislam pia na naswali pia japo si swala 5
 
Ulizani ninataka kuwa na wewe hapana nimekupita sana 6 years .

Nenda kaoge uwe msafi kabisa vaa kanzuu nyeupe tandika Ile zulia lenu, halafu washa ubani mashtaka ushitaki kuwa Sina mke, kama Kuna mikosi, balaah na mengi utaongeza basi usisahau ule udi ambao ni upo kama sabuni unaumega unauchoma kidogo huku ukiomba Mungu akubarikie mizimu ya baba na mama ikusaidie upate mke atakayekufaa au ulizia kwenye maduka yakisuna udi wa mapenzi fanya Kwa siku Saba . Siku 3 za mwanzo fukiza udi huo baada ya hiyo Sala ijioni utoke uonekane mitaani sehemu nzuri nzuri halafu utaniambia kama hujapata . Anza na. Ile Sala yakuanza ya kwenu sijui albarkatu sijui Nini utaona .
Ila nitafanya hii naahidi kukupa mrejesho
 
Aisee! Sasa naamini ila bado mguu nje mguu ndani. Naambiwaga maneno hayahaya na mwenzio nyumbani ila nikisomaga "kula tunda kimasihara" na bwana rikiboy Natoaga imani na wanawake kabisa ingawa ninae tayari. By-the way nimekuuliza asili nikajua ni kama WIFE tu 😊 maana nlifkiri wote mpo namna hiyo (kitabia na misimamo)
hehehe mkuu mwanamke ni akili sio umbo wala miguu, mwanamke akiwa na akili mwanaume wake lazima uvimbee mana anakua anajitambua na hahadaiki kabisaa
 
Ila nitafanya hii naahidi kukupa mrejesho
DOGO ACHANA NA HAWA WA HUMU INGAWA SI WOTE WANA TABIA ZA HOVYO! HOVYO! HUMU MAJORITY NI MABAZAZI TU! WATAKUKWANGUA UBAKI LOFA. HAWANA HAYA! WANAOMBAOMBA MNO! SIJUI HAWAKUFUNZWA MAKWAO 🤔🤔🤔 AU NDO KUTOKUWA NA HAYA NA KUJISHTUKIA... ZINGATIA DOGO.
 
DOGO ACHANA NA HAWA WA HUMU INGAWA SI WOTE WANA TABIA ZA HOVYO! HOVYO! HUMU MAJORITY NI MABAZAZI TU! WATAKUKWANGUA UBAKI LOFA. HAWANA HAYA! WANAOMBAOMBA MNO! SIJUI HAWAKUFUNZWA MAKWAO 🤔🤔🤔 AU NDO KUTOKUWA NA HAYA NA KUJISHTUKIA... ZINGATIA DOGO.
Mtandaoni hapana aisee nimeshatoa kisa yaliyonikuta hapo juu kwenye comment za mwanzo mwazo
 
hehehe mkuu mwanamke ni akili sio umbo wala miguu, mwanamke akiwa na akili mwanaume wake lazima uvimbee mana anakua anajitambua na hahadaiki kabisaa
Naona mnafananafanana akili! Au ni WIFE huyu na yeye yupo humu?! 🤔🤔🤔😳😢😰😨
 
Yes, fuata hivi hutokosa mtoto mzurii tu na ukimpata hakikisha unawasha udi kwako chumbani usifungue madirisha washa Moja tu ikiisha fungua ila semelea hivi ukiingia kwangu dumu namimi usimwone mwingine sema hivyoo kama umefikia hatua yandoa jipake maji ya rose kidogo changanya na udi mafuta kama ukipata ni nzuri na manukato ya kulthum kidogo tu basi utaona ingine choma kwenye mkaa kama huwezi paka tu huo mchanganyiko ni mvuto hatari maana kultuhum ni manukato yenye mwanadada ua rose wadada wanaonyeshwaga upendo wakipewa ua rose tu. Na udi wanapenda sana harufu zao .
Kumbe nilikuwa nyuma sana nskuahidi hilo naondoka nalo nalifanyia kazi mrejesho nitakupa dada ahsante sana ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom