Mnapokuwa na nafasi (vyeo)msijimalize kwa ubaya ...........

Mnapokuwa na nafasi (vyeo)msijimalize kwa ubaya ...........

maddox

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,086
Reaction score
4,669
Niaje niaje..........Leo katika pita pita zangu mtandaoni....nakutana na habari kutoka kwa majirani (kenya) kuhusu kifo cha mwenyekiti wa tume ya uchaguzi.......nikakakumbuka stori nyingi sana kumhusu yule wa kwetu kule zanzibar .........marehemu jecha........jamani haya maisha tu tupendane na tuishi vyema ......ingawa kuna zee moja jinga lilisema wazuri hawafi lakini najua kabla hayajamfika atakumbuka kuomba msamaha hadhila ya watanzania kwa ujumla........sasa turudi kule kenya kwa majirani ...........sijui kama waliodhulumika kama wataungana na wafiwa kwenye kutoa pole unless serikali imzike mtu wao..........siku njema
 
Back
Top Bottom