Hujaona hoja hata moja mkuu?Kutoa ofa sio lazima bro ukiona mfuko wako huuelewei kausha tu usimkaribishe mtu
Windock badala ya windhoekHata Kama unakaa kwa shemeji yako, jifunze kuandika vizuri
Manapo- mnapo
Kujitathimi- kujitathimini
tendwe- twende
Mmtoa- mtoa
Sasa umempa ofa kisa nini??Yani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini.
Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote.
Yani ni metoa jamaa tendwe tukapate supu anaona mimi naagiza makongoro ya ng'ombe yeye anaagiza mchemsho wa kuku tena kidali. Kwa nini usisubiri kusikia muhusika kwanza.
Kuna wengine umeagiza chakula cha kawaida yeye anaagiza kushinda wewe.
Tuheshimiane tutakwepana: Jana nampa mtu ofa chukua bia anaona nakunywa balimi yeye anataka windock tena anabugia kwa sifa.
Sasa bila hela unamualikaje mtu huku ukijua wewe ndo unalipa? ATAFUTE HELA ILI APUNGUZE VIFUATAVYO;Sasa hivi wanakuja na kuanza kukuambia tafuta hela![emoji2][emoji2][emoji2]
Ila bloangu inaonekana una hali ngumu sana,yaani hata tuchakula ka let say tu-elf10 unakuja kuanzisha uzi kabisa humu bloangu kweli?????Yani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini.
Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote.
Yani ni metoa jamaa tendwe tukapate supu anaona mimi naagiza makongoro ya ng'ombe yeye anaagiza mchemsho wa kuku tena kidali. Kwa nini usisubiri kusikia muhusika kwanza.
Kuna wengine umeagiza chakula cha kawaida yeye anaagiza kushinda wewe.
Tuheshimiane tutakwepana: Jana nampa mtu ofa chukua bia anaona nakunywa balimi yeye anataka windock tena anabugia kwa sifa.