Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Leo nimetolewa ofa nikakumbuka huu uzi
Mwenyeji kaagiza chips kuku na soda hapo seacrif mimi nikaagiza chips kavu akaona aibu akasema muongezeew na tropical na mishikaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijavunja kanuni sio mkuu?
Safi sana