Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Leo nimetolewa ofa nikakumbuka huu uzi

Mwenyeji kaagiza chips kuku na soda hapo seacrif mimi nikaagiza chips kavu akaona aibu akasema muongezeew na tropical na mishikaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sijavunja kanuni sio mkuu?
Unavyopenda offa sasa khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom