Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
Asee hakuna raha kama mwanamke nawe ufanye clearance ya bill...ina raha yake
Sasa mtu anaalika watu halafu hasemi nini waagize. Kama una hofu sema nao in advance kuliko kuwaacha wanaagiza lakini moyoni unaumi ile mbayaNdio maisha mkuu, binadamu hatufanani, ila ungeuvaa uso wa kondoo na kumwambia tu kuwa your budget is limited.
Hahahah hio labda umchane baharia ila malaya kumwambia hilo ni ngumu. Lazma utakaza tu.Nakuambia mapema sana kabla ya kuagiza chochote kwamba agiza chakula / kinywaji kwa gharama isiyozidi kiasi kadhaa, tena nakuambia nikiwa nakutazama usoni macho kwa macho na kwa msisitizo. Ikizidi ni juu yako kulipa.....hela ni rahisi sana kuitumia lakini ni kazi kweli kweli kuitafuta
Yaani nimekuita unajifanya jeuri?🤣🤣🤣Mkuu hayo ya mimi na Naka yaache kama yalivyo🤣
Mengine yapi tena madam🤣🤣 japo nasikia mafahali wawili ngumu kukaa meza moja🤣Yameisha
Ila tujilinde yasianze mengine 🤣🤣🤣🤣
watu wapo na maconfidence dah 😆Pole yake🤣🤣🤣
Pesa nayo changiaga ni msiba au ugonjwa tu.
Ubarikiwe sana kwa kuniita tajiri,ipo siku ntakuwa tajiri kweli.Mkuu hata mimi nikileta kadi yangu unichangii tajiri yangu
Mkuu, mtu anayejielewa hawezi kuagiza Henny tatu hata iweje, huyo ni hajielwi mzee. Henny moja ni around 100k kutegemea na eneo, tatu ni 300k. Binadamu(achilia mbali me or ke) mwenye kujielewa hawezi fanya hivyo.Sasa mtu anaalika watu halafu hasemi nini waagize. Kama una hofu sema nao in advance kuliko kuwaacha wanaagiza lakini moyoni unaumi aile mbaya
Wanachokosea ni kuwa mlima haupandwi kwa gia namba 5 lazima uanzie chini.watu wapo na maconfidence dah 😆
Kitambaa Cheupe was a fine place sio hio kanda ya ufukweni 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alitaka apost wasp good place af si unajua watu wa kigoma wakifika mjini kwaio ilibidi nimpeleke ila mpaka leo akitaka kutoka ananiambia nisimpeleke maeneo kama ya karambazi
Nampelekaga kitambaa cheupe na kibozone na maeneoa mengine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapenda makelele?Kitambaa Cheupe was a fine place sio hio kanda ya ufukweni 🤣🤣🤣
Alikosea sana dah hata kama vipo ndani ya uwezo unaombaje vyote hivyo kwa day one .Wanachokosea ni kuwa mlima haupandwi kwa gia namba 5 lazima uanzie chini.
Nilijiuliza day one ana behave hivi na ameomba vitu vya 1.6 imejini day one...yes vilikuwa ndani ya uwezo...lkn nilijiuliza...what next?
Mi popote kambi mzee, as long as kuna mziki wa kwenda na mood yangu. Sio lazma makelele kuna sehemu zina mziki ila tulivu.Unapenda makelele?
Sawa, sasa mtu anajua kuwa kuna wasio jielewa. Unapoalika mtu anza mwenyewe kuwaalika unaoona wanaojielewa. Kama hujui huyo kama anajielewa au la, MWAMBIE BAJETI YAKO. Ukimuacha huru basi tegemea loloteMkuu, mtu anayejielewa hawezi kuagiza Henny tatu hata iweje, huyo ni hajielwi mzee. Henny moja ni around 100k kutegemea na eneo, tatu ni 300k. Binadamu(achilia mbali me or ke) mwenye kujielewa hawezi fanya hivyo.
Kuna wakati sekta yetu hutema so haikuwa shida but nilimhurumia kuwa nilijua baada ya hapo mlango utajifungaNdio maisha mkuu, binadamu hatufanani, ila ungeuvaa uso wa kondoo na kumwambia tu kuwa your budget is limited.
DAah mimi mikelele big noMi popote kambi mzee, as long as kuna mziki wa kwenda na mood yangu. Sio lazma makelele kuna sehemu zina mziki ila tulivu.
Kwa mgeni Kitambaa cheupe is a good place to be.
Nakuambia mapema sana kabla ya kuagiza chochote kwamba agiza chakula / kinywaji kwa gharama isiyozidi kiasi kadhaa, tena nakuambia nikiwa nakutazama usoni macho kwa macho na kwa msisitizo. Ikizidi ni juu yako kulipa.....hela ni rahisi sana kuitumia lakini ni kazi kweli kweli kuitafuta