Haha tuyaache mwananguAlikosea sana dah hata kama vipo ndani ya uwezo unaombaje vyote hivyo kwa day one .
bila shaka alikuwa mdada wa mjini eeh ?
Ningeendelea kukujibu lkn hujafuatilia posts zangu usingeuliza zaidiTuendelee hapo hapo kwenye uhalisia..!! Unamualika mtu kwa Mangi grocery, hayo makolokocho ya laki laki yapo? Maana ukimualika Kempisk lazima wewe mualikaje ujue bei za vinywaji au vyakula katika eneo unalomualika.
Kifupi, ukimtoa mtu out, limit iwe eneo unalomtolea. Huwezi agiza serengeti Lager ya 2,000/- halafu savanah ya 5,000/- uje ulie lie huku JF.
🤣🤣🤣🤣Mengine yapi tena madam🤣🤣 japo nasikia mafahali wawili ngumu kukaa meza moja🤣
Mtoa mada una hoja nzuri na WANAUME tumekuelewa.
Wavulana, vijana, watoto kiume na kike ndio wataleta maneno mbovu mbovu.
Haya babaHaha tuyaache mwanangu
Hahahah noma kweli mzee mie muziki ni hobby, huwa napenda indoors music zaidiDah mimi mikelele big no
Sina vanguard yoyoteWew nakadori unatembelea vanguarg mimi natembelea mwendokasi na daladala unahisi nitaweza kulipa bill ya laki nne
Then unamafanikio makubwa kwaio yaanaendana na ukubwa wa kipato
Mbona unaogopa?Haya baba
isijirudie jamani .
J5 na Jmosi nikiwa jijini huwa napenda nimuone Zorro pale boardroom.Hahahah noma kweli mzee mie muziki ni hobby, huwa napenda indoors music zaidi
nashangaa mtu anapataje audacity ya kuchezea hela ya mtu hivyo .Mbona unaogopa?
Dad ako ni mtu wa kusafiri sana tu.
Tunakutana na vitimbi hata usipomwalika mtu vitimbi havikomi.
Jambo la muhimu unatumia hekima gani ku solve?
Kwangu hiyo ni kawaida ni mengi ya kusimulia lkn haina haja🤣🤣
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kwahio unampinga tajiri, kama hutumii BALIMI agiza hata Dasani basi utulie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ujue nikiridhia niwe mahali flani niko tayari kwa lolote...nakupa uhuru eidha uutumue uhuru wako vizuri au vibaya...ni juu yako masah🤣nashangaa mtu anapataje audacity ya kuchezea hela ya mtu hivyo .
aisee basi una moyo wa uvumilivu .. vitimbwi hivyo ningekuwa wewe tungegawana bill
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kataa unyonge kijana. Uzuri mnapoalikana mnajuana kwamba kila mtu ana nguvu kiasi gani![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huo unyongee mkuu!! Ivi unitoe kwangu naweka gari mafuta nije kwenye mualiko wako alafu ninywe maji mkuu?? Inategemea wakati gani na mualiko niwa nini hasa.....
Wakati mwengine jamaa anakualika ili ukasikilize changamoto zake mshauriane kama vjana apo sawa maji fresh napiga......
Ila mualiko ambao unataka tukawake, iyo tusipangiane kula wala kunywa.... na ukileta pigo zakishamba nakulipia mimi iyo bill!!! Maana kualikana haimaanishi unaemuita hana kitu, sasa unapoanza mashariti ndo unazingua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1431][emoji1431]
Na hapo ukute hujamkula....soo sad[emoji17]Hujaona hoja hata moja mkuu?
Jamaa kaongea vizuri mkuu.
Ukialikwa chukua tahadhari usijiachie sana.
Yesu alisema ukilikwa karamuni kaa viti vya nyuma...subiri uletwe viti vya mbele.
Lengo ni nini?.
Ikiwa nimekualika halafu ukaagiza chakula cha bei ndogo labda kwa uoga...mimi niliyekualika nitakwambia chukua hata kuku mzima na wine.
Na kama siko poa hicho hicho cha bei ya kawaida nitakuacha uendelee nacho.
Mimi niliwahi kumtoa mtu out aliagiza vinywaji na chakula jumla 300k.
Je kama ningekuwa mchovu unafikiri ingekuwaje?
Yeah pale pako sawa,kuna mzuka flani wa kiutu uzima.J5 na Jmosi nikiwa jijini huwa napenda nimuone Zorro pale boardroom.
Alinizoesha mjinga flani humu😅 humu...pametulia kiasi japo jmosi na pili kuna jam sana
We falla unajua sikulagi hovyo na haikuwa intensheni yangu...jinga wewe🤣🤣🤣Na hapo ukute hujamkula....soo sad[emoji17]
Hahaa[emoji1787][emoji1787]...kwaiyo we unaliwaga tuWe falla unajua sikulagi hivyo na haikuwa intensheni yangu...jinga wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu hupokei simu
Hahahah kwahio we Mwana Lupaso kumbe 🤣🤣🤣! Sema jina hilo limekaa kinyumbani sana.Me sio mpare
Mbona hamtakiii
Mpare bi mkubwa
Me kabila la mkapa
Unaanza kunivunjia adabu...unajua kitakachofuataHahaa[emoji1787][emoji1787]...kwaiyo we unaliwaga tu