dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Safi hongera sanaHaha 2.20 alhamis to j4
Menu na other services including laundry aside...
Exportation within mwanza aside
To and from mwanza aside (vip bus fare).
Watu 3.
Sikukuelewa...Safi hongera sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbona sikumbuki sasa?🤣🤣🤣kwani bado?Huwezi sahau hapa ndo utatoa zaidi ya hyo 300k uliyotoa ukaambulia manyoya
Uliona ile parade ya xmass watu wamepiga bikini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duh noma kweli, sema wavuvi camp jamaa anapiga zake hela kinoma. 🤣🤣🤣
Umeanza kufuta ee🤣🤣🤣Sitaki uchokozi na ww
Kalito alitaka kupageuza coco beach kama Jamaica 🤣🤣🤣 sema RC kaingilia katiUliona ile parade ya xmass watu wamepiga bikini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kalito ameamua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi ndo mana sjawah kua na dem hata kazini yani nikitoka lunch ninunue maji mawili pilau kuku mbiliiiii? NEVER
Sema Kalito mbunifu sanaKalito alitaka kupageuza coco beach kama Jamaica 🤣🤣🤣 sema RC kaingilia kati
MBONA MAKONGORO YAKE..!!! nIMECHEKA KAMA FALA WALLAHKula kitu yenye roho inapenda , si umetoa mualiko ? Wewe kula makongoro yako Mimi nitaagiza makange ,,,
Ukinywa k vant
Mm nitaagiza absolute vodka
Na wanaume kama makondoo mpo tu maana hayo ndo mambo mnapenda.Kalito alitaka kupageuza coco beach kama Jamaica 🤣🤣🤣 sema RC kaingilia kati
Ndio ukome.Najua utaambiwa huna pesa lakini kuna hoja.
Kuna hekima katika kufanya mambo kwa tahadhari.
Mimi yaliwahi kunikuta uzuri nilikuwa vyema sikuaibika.
Yeah ni mbunifu sana kwa kweliSema Kalito mbunifu sana
Mkuu uliona ile parade ya xmass ?Sema Kalito mbunifu sana
Ile ya "vikamba?"Mkuu uliona ile parade ya xmass ?
Hapana mkuu sikuwa na access na dunia kivile huo wakatiMkuu uliona ile parade ya xmass ?
HahahaIle ya "vikamba?"
Ni fahari ya macho ile kuangalia uumbaji. Si unajua sikuhizi Bongo unywamwezi mwingiiiNa wanaume kama makondoo mpo tu maana hayo ndo mambo mnapenda.
Thanks mkuu wa mkoa kwa kukemea naona sku hizi wanapiga vijora
Ilikuwa balaa bin hatari..!!Hahaha
Ndo hyo....uliona eeh