Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #161
KAMSHAURI WOLPER SIO MIE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KAMSHAURI WOLPER SIO MIE
AISEEMuendelezo wa ujinga bora upigwe life ban
UKIMALIZA MWITE DADA WA KAZI ASAFISHELooooh! Natapika jamaani!
MLAUMU WOLPERYaani mimi nimethubutu kwenda huko kwa mzee Madiba, halafu nikirudi usinipokee!!!!!?????
Duh! Mwananchi anaikana nchi yake!!?? Ajabu sana kwa Tanzania tu
HAHAHAHA BAMIA CLASSIC BABY!Ile halufu ya ng'onda nikiisiaga na kiba100 changu hunywea hapohapo
habari ndo hioWengine wanapaita uvinza eti!!! Vijana bwana mna mamboz sana.
you can?You cannot even read right
kwahyo wolper ndio kasema kuwa yy anauvundo huko kusiniwolper YES kaamua kusema ukweli instagram
umeenda kule kwenye mchaga na mpare?Baby stori zishakwisha au?
cc. Money penny
Nishampitia asiyejua kutongoza, nishaenda kwenye concert ya money penny ni nani has?, nikakutana wale wa kuchepuka, in short sijabakiza popote zaidi
ndio nenda instagram utaonakwahyo wolper ndio kasema kuwa yy anauvundo huko kusini
siwezi kuwa wolper hata kiduchu!Tetesi ambazo hazijathibitishwa bado....
Inasemekana wewe ndiyo Wolper...
Ingawa kuna ambao wanakufananisha na member mmoja hivi humu...
Cc: mahondaw
HAHAHAHA HIO status inamuhusu wolper sio mimiYaan nmetumia mda mrefu sana kumfikiria money peny nmeishia tu, kujutia kuingia jf siku ya leo
pouwa mkuu nimekusomandio nenda instagram utaona
Sawaaa. Ila nashukuru nmeingia usiku huu maana kama ingekuwa mchana ule mlenda nisingekula hata kwa dawaa.HAHAHAHA HIO status inamuhusu wolper sio mimi
nakutag kwenye stori zangu uje usome utanielewa zaidi
siwalaumu watz... mkichoka kuni figure out mtanyamaza
doh poleSawaaa. Ila nashukuru nmeingia usiku huu maana kama ingekuwa mchana ule mlenda nisingekula hata kwa dawaa.