Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #21
Mtoto wa Nyerere mmoja
Ishu ya mtoto wa Nyerere haikuwa Dar, yeye alifariki baada ya ndege aliyokuwamo kupita katika anga la Tanzania ambalo haikuruhisiwa ndege vita yoyote kupita, hivyo askari wa JWTZ waliidungua ndege yake kimakosa wakidhani ni ya adui.