Mnasemaje hali ngumu wakati Uwanja wa Taifa unajaa mechi ya Simba?

Tokea lini mwanalumumba akawa na akili toa makalio hayo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiingilio cha mechi kilikuwa kiasi gani?
Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Wewe nadhani hauko kundi lolote . Huwezi kuwa mfanyabiashara wala mfanyakazi hata kilimo hufanyi ndio maana anasema hayo
Ungekuwa miongoni mwa makundi hayo matatu isingesema hivyo.
Nampenda sana Magufuli kwasababu kipindi kile waliokuwa wanafaidi keki ya nchi kwa ujanja ujanja wamekuwa angalau wanatusalimia heshima imerudi.Tuliokuwa tuna kula kwa jasho letu tunaendelea na hatuoni mabadiliko.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nadhani hauko kundi lolote . Huwezi kuwa mfanyabiashara wala mfanyakazi hata kilimo hufanyi ndio maana anasema hayo
Ungekuwa miongoni mwa makundi hayo matatu isingesema hivyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Mimi nipo miongoni mwa hayo makundi na naona Hali Ni nzuri..Tena Sasa hivi tunashukuru Sana Mungu
 
Naunga mkono hoja hii.
 
Kiingilio ni laki ngapi??

Uzi wa kiwango cha chini kabisa..sio mbaya tukasema umwandikwa na ***
 
Kiingilio Cha Taifa star vs Brazil kilikuwa sh 200,000 VIP na mzunguko 30,000

Kiingilio Cha Simba vs Vita Ni 10,000 VIP na mzunguko 3,000

Haya sema.....
 
Si wanakopa kwakua wana uhakika wa kulipa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani zamani kingilio kilikua laki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…