Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo apo umeongea kitu gani cha maana kama sio pumba tupu.
Hivi miaka ya nyuma kiingilio hakikuwahi kuwa chini?kuchukua sample ya watazamaji wa mechi ya jana na kulinganisha na ugumu wa maisha unajidanganya.DSM ina population zaidi ya watu milion 4 uwanja unachukua watu labda 60,000,ukijaa uwezi sema watu wana hali nzuri 60,000:4,000,000 ni ratio ndogo sana kutoa hulisia wa maisha ya watu.Kumbuka kingilio cha chini ilikuwa 3,000/=kwa mazingira ya dar ni rahisi mtu wa kipato cha chini kupata 3,000/=kuliko mikoani na ndivyo nadharia ya demand na supply inavyofanya kazi,mjasiriamali wa dar yenye watu milioni zaidi ya nne ni rahisi kupata 3,000/=ya kutazama mechi tofauti na mikoani.
Mtoa mada anasema eti hali ya Sasa maisha Ni nzuri ndiyo maana kiwanja kinajaa ndo nimempa hiyo data ili ajue huko nyuma tatizo lilikuwa Nini.Ni kweli miaka yote 2010 - 2015 viingilio vilikuwa 30K?