GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nani huyo mpiga misumari?GENTAMYCINE nikiwa nakuja na Threads hapa za Kuwaonya Viongozi wa Simba na Yanga wawachane mubashara ( live ) Wachezaji wazawa kwa Kuwaroga ( kupiga Pini ) Wenzao wa Kigeni si huwa Mnanipuuza na Kunidharau?
Haya mwambieni Kocha Mgunda amrudishe tena Mchezaji Aubin Kramo kwa yule Mganga wa Kienyeji Mkoani Tanga ambaye alimpeleka baada ya Fainali ya Mechi ya Community Shield ili akamtibu na amuague.
GENTAMYCINE nikisema namaanisha.
AMEN.Jumatatu asubuhi ni siku njema machoni pa Mungu tuianze vema.......Mungu akawatangulie kwenye mapambano yenu
Endeleeni tu kunichukulia Poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila najua nina Zawadi gani ya Shani / Tunu nimepewa na Mwenyezi Mungu na Watu wengi hawakubarikiwa nayo.Ulisema hili,
Ila Simba wanapigana Sana misumari
Nakumbuka case ya Kapombe na Israel mwenda
Na hii ya Kramo ilisemwa ana rogwa ,kapona juzi na kafunga ,gafla karudishwa wodini [emoji1787][emoji1787]
Djigui Diara anamjua vyema na zaidi.Nani huyo mpiga misumari?
Shenzi kabisaa, sijawahi ona Mzanaki wa hivii🤣🤣🤣🤣AMEN.
Kramo ameumia kabla Stars hawajarejea, so hakuna usahihi wala uhusianoGENTAMYCINE nikiwa nakuja na Threads hapa za Kuwaonya Viongozi wa Simba na Yanga wawachane mubashara ( live ) Wachezaji wazawa kwa Kuwaroga ( kupiga Pini ) Wenzao wa Kigeni si huwa Mnanipuuza na Kunidharau?
Haya mwambieni Kocha Mgunda amrudishe tena Mchezaji Aubin Kramo kwa yule Mganga wa Kienyeji Mkoani Tanga ambaye alimpeleka baada ya Fainali ya Mechi ya Community Shield ili akamtibu na amuague.
GENTAMYCINE nikisema namaanisha.
Kwamba unataka kusema mkandajiDjigui Diara anamjua vyema na zaidi.
Kibu denga bila shaka ,Djigui Diara anamjua vyema na zaidi.
Hahahahahahaha,dah,kudadekiDjigui Diara anamjua vyema na zaidi.
Djigui Diara anamjua vyema na zaidi.
Hizo ni imani potofuUlisema hili,
Ila Simba wanapigana Sana misumari
Nakumbuka case ya Kapombe na Israel mwenda
Na hii ya Kramo ilisemwa ana rogwa ,kapona juzi na kafunga ,gafla karudishwa wodini [emoji1787][emoji1787]
Kuna mmoja kaja huko utopolo subirini tu muziki wakeTimu ya washirikina.