Mnataka nini?

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
3,977
Reaction score
5,339
Kwa nini wanawake wa siku hizi wanawahi kubana korodani katika ugomvi? Kwa nini wanapenda kutoa maneno ya kashfa kama vile: 'huniridhishi(hata kama unamridhisha), una mambo ya kike n.k?

Hiyo imetokea hapa kwetu ninapoishi, kwa mtu wangu wa karibu. Wanawake jibuni tafadhali!
 
Ni mwanamke wako tuu ndio anakubana pumbu shemeji,.sisi werevu hatufanyagi hivyo...
 
Eti huniridhishi wanawake bhana hahahaaaaaaa
 
dah Mungu saidia yaainitokee haya sababu lzm magazeti yataandika ntakachofanya
 
Washamba wengi mbona vidole vyao vyembamba vinawaridhisha wanacheza saikolojia ya sisi wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…