Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Kwa nini wanawake wa siku hizi wanawahi kubana korodani katika ugomvi? Kwa nini wanapenda kutoa maneno ya kashfa kama vile: 'huniridhishi(hata kama unamridhisha), una mambo ya kike n.k?
Hiyo imetokea hapa kwetu ninapoishi, kwa mtu wangu wa karibu. Wanawake jibuni tafadhali!
Hiyo imetokea hapa kwetu ninapoishi, kwa mtu wangu wa karibu. Wanawake jibuni tafadhali!