Mnatumia “photoshop” mnapiga hela mnamdanganya Rais Samia

Mnatumia “photoshop” mnapiga hela mnamdanganya Rais Samia

Nchi hii inashangaza sana haishi vituko sijui mtu akiingia badalakini akili inaenda wapi, Mungu atusaidie utashangaa CCM wanashangilia na mtu akikosoa wanamuataki na kumuita kwenye kamati ya maadili, bora kipindi cha Magu alikuwa anapambana na matajili sasa tunaanza kuona rangi zote, Mungu atuepushe tusije rudi kama kipindi cha JK mambo yalikiwa hovyo sana 😡😡
 
Ila wa Tanzania kwenye comments utacheka sana, hii serikali imekosa uungwaji mkono kwa kiasi kikubwa sana. Comments zote huwa zipo negative, ukitaka kujiridhisha soma kwa millard akipost habari ya serikali. Ila ndio hivyo wanasiasa huziita hizi ni "kelele" na mataga huwa wanasema kwenye mitandao wamejaa vijana wa CDM kwa ID mbilimbili, sasa unajiuliza wao wako wapi wasijae kwenye mitandao pia?

Tuendelee kuiba kura hakuna namna.
 
Comment nyingi ni za chuki na wivu tena ule Mzee Msekwa alisema "Wivu wa Kike"
 
Comment nyingi ni za chuki na wivu tena ule Mzee Msekwa alisema "Wivu wa Kike"
Watu wanakosoa waliofanya hiyi kazi wamekosa ubunifu. Mfano picha ya mbugani walishindwa kutafuta gari la watalii, mama akawa amesimama juu ya gari anangalia kwa kutumia binocular au yupo nje anasalimiana japo na watalii ikiwezekana European, au ameketi kwenye tenti na watu wachache wanapata breakfast.
 
Watu wanakosoa waliofanya hiyi kazi wamekosa ubunifu. Mfano picha ya mbugani walishindwa kutafuta gari la watalii, mama akawa amesimama juu ya gari anangalia kwa kutumia binocular au yupo nje anasalimiana japo na watalii ikiwezekana European, au ameketi kwenye tenti na watu wachache wanapata breakfast.
Haya serikali imeshatoa taarifa kwamba hizo picha sio rasmi na hazijatolewa na serikali wamewataka wanaosambaza picha hizo waache mara moja.
 
Combat na ushungi haviendani. Wazungu wataogopa kuja. Hakuna kitu wazungu wanaogopa kama misimamo mikali ya kidini, kuvaa maushungi, ugaidi n.k

Mama ashauriwe. Hii film inakwenda kuzinduliwa Marekani ajue. Atoe ushungi au awaachie kina Hoyce Temu waigize hiyo film.

Ova!.
Kweli aisee
 
Back
Top Bottom