utaambiwa mpaka sasa ni Trilion 1.7Ngoja upewe bajeti ya kazi sasa ndio nafsi itakupasuka na kuanza kusononekea tozo..
Picha zote tatu mguu wa kushoto uko mbele, yaani kila kamera ikipiga mguu wa kushoto kimbelembele kuipokea.View attachment 1929335
KUNA WAHUNI WAMEPIGA PESA NDEFU SANA HAPA , YAANI NASIKIA AIBU HALAFU INANIUMA HII DEAL IMENIPITA KUSHOTO
Ina maana mheshimiwa hana style ingine zaidi ya kupiga picha? au picha ni moja imekuwa photoshopedView attachment 1929335
KUNA WAHUNI WAMEPIGA PESA NDEFU SANA HAPA , YAANI NASIKIA AIBU HALAFU INANIUMA HII DEAL IMENIPITA KUSHOTO
Mchongo km hii ndo ya kupigaNi ufisadi wa kutisha
Watu wanakosoa waliofanya hiyi kazi wamekosa ubunifu. Mfano picha ya mbugani walishindwa kutafuta gari la watalii, mama akawa amesimama juu ya gari anangalia kwa kutumia binocular au yupo nje anasalimiana japo na watalii ikiwezekana European, au ameketi kwenye tenti na watu wachache wanapata breakfast.Comment nyingi ni za chuki na wivu tena ule Mzee Msekwa alisema "Wivu wa Kike"
Haya serikali imeshatoa taarifa kwamba hizo picha sio rasmi na hazijatolewa na serikali wamewataka wanaosambaza picha hizo waache mara moja.Watu wanakosoa waliofanya hiyi kazi wamekosa ubunifu. Mfano picha ya mbugani walishindwa kutafuta gari la watalii, mama akawa amesimama juu ya gari anangalia kwa kutumia binocular au yupo nje anasalimiana japo na watalii ikiwezekana European, au ameketi kwenye tenti na watu wachache wanapata breakfast.
Kweli aiseeCombat na ushungi haviendani. Wazungu wataogopa kuja. Hakuna kitu wazungu wanaogopa kama misimamo mikali ya kidini, kuvaa maushungi, ugaidi n.k
Mama ashauriwe. Hii film inakwenda kuzinduliwa Marekani ajue. Atoe ushungi au awaachie kina Hoyce Temu waigize hiyo film.
Ova!.